Miguu kutoa harufubaya

Miguu kutoa harufubaya

MOLAM

Senior Member
Joined
Oct 12, 2013
Posts
141
Reaction score
20
Jf mimi ninasumbuliwa na tatizo la kutokwa na harufu mbaya kwenye miguu.najitahidi kuosha miguu na kuvaa viatu ambavyo sivyakufunika ila bado inaendele, kama kuna mwenye kujua dawa naomba msaada Wako/wenu.
 
Back
Top Bottom