MIGUU KUWAKA MOTO,KUPATA GANZI NA KUHISHIWA NGUVU MIGUUNI KIASI CHA KUYUMBAYUMBA KAMA NIMELEWA.

ITmaster

Member
Joined
Jul 4, 2019
Posts
5
Reaction score
4
Habar zenu ndugu znguu,,mwezenu na Kama mwaka sas nasumbuliwa na tatizo la kuwaka Moto miguun na kushika ganzi pia(miguu yote miwil)...na sas imepelekea kukosa nguvu miguun hata nnavyo tembea huwaga napepesuka Kama vle nmelewa.......plz naomba ushauri ndugu znguu Ni ipi tiba au dawa ya kutumia ili npate kuponaaa[emoji120]
 
Mdau humu kimya sana?
 
Please go see the dokta.... Tena wapi Hospital !!
Ndg wahi haraka ..Kama huna pesa ..kopa fasta!!
 
Umepima sukari (diabetes).
Thread closed. Hiyo ni Diabetes... Hiyo condition inaitwa Hypoglycemeia. Kunywa sana vinywaji vyenye sukari nyingi kipindi mwili ukiishiwa nguvu... Ila nenda pia hospitali uhakikishe na vipimo ili uanze dozi.
 
Vp hali inaendaje bro?
 
 
peripheral neuropathy,,, inaweza kuwa due to diseases Kama Diabetes mellitus,, hypertension,, HIV,, n.k inaweza kuwa side effect za dawa eg ARVs eg EFV, TDF,, au INH(TB preventive therapy) so funguka mkuu ongeza nyama kwenye uzi tupate history
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…