Miguu yangu jama inauma sana naomba msaada

Miguu yangu jama inauma sana naomba msaada

g.n.n

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2010
Posts
407
Reaction score
49
habari zenu

jamani mimi nina matatizo ya miguu hasa mguu wangu wa kulia tatizo linakuja pale ambapo ninakaa kwa muda mrefu au nikichuchumaa na nikiunyoosha mguu unalia koo sa sijajua tatizo likowapi please naomba msaada wako
 
habari zenu

jamani mimi nina matatizo ya miguu hasa mguu wangu wa kulia tatizo linakuja pale ambapo ninakaa kwa muda mrefu au nikichuchumaa na nikiunyoosha mguu unalia koo sa sijajua tatizo likowapi please naomba msaada wako
Kuna ugonjwa unaitwa arthritis. Ni hali ya kuishiwa vilainisho (lubricants) kwenye maungio ya mifupa. Ikiendelea kwa muda mrefu mifupa inasagana na mgonjwa kupata maumivu makali. Ukiuwahi unatibika. Nenda hospitali ukapimwe mapema iwezekanavyo.
 
Huhitaji kujiuliza uliza hivyo wakati huu babu wa loliondo ni jibu la magonjwa sugu.
 
dont believe to these ppl ambao dawa ni mpaka masharti
 
Back
Top Bottom