Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 5,710
- 8,579
Ni kweli kabisa Oryx wahuni sana,
Mm nime experience iko kitu pia
Mm nime experience iko kitu pia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oryx ni majizi, mimi hutumia Taifa gas, zamani MihanHabari wanajamvi, kuna jambo limenifikirisha kidogo, hii ni baada ya kununua mitungi miwili ya gas ya ujazo wa kilo 50, Mihan gas na Oryx gas, sasa nilipofika home niliunga gas valve yenye gauge ya kusoma pressure ya gas(inatumika kujua kiasi cha gesi kilichobaki kwenye mtungi) nikapata matokeo ambayo sijayazoea kwa muda wote nikitumia Oryx, cheki hii pichaView attachment 2398441
Mshale ukaonesha kama hivyo na sijawahi kuona wakati natumia Oryx, basi nika disconnect nikaweka wa Oryx nikapata haya matokeo, sasa najiuliza, View attachment 2398442
Mihan au Taifa gas nilitumia mpka nikajiuliza mbona gas haiishi wanajaza fully kihalali kabisa,Oryx ni majizi, mimi hutumia Taifa gas, zamani Mihan
Nadhani kipimo sahihi ni uzito na siyo hiyo pressure gauge unayotumia!Habari wanajamvi, kuna jambo limenifikirisha kidogo, hii ni baada ya kununua mitungi miwili ya gas ya ujazo wa kilo 50, Mihan gas na Oryx gas, sasa nilipofika home niliunga gas valve yenye gauge ya kusoma pressure ya gas(inatumika kujua kiasi cha gesi kilichobaki kwenye mtungi) nikapata matokeo ambayo sijayazoea kwa muda wote nikitumia Oryx, cheki hii pichaView attachment 2398441
Mshale ukaonesha kama hivyo na sijawahi kuona wakati natumia Oryx, basi nika disconnect nikaweka wa Oryx nikapata haya matokeo, sasa najiuliza, View attachment 2398442
Sirudi tena OryxMihan au Taifa gas nilitumia mpka nikajiuliza mbona gas haiishi wanajaza fully kihalali kabisa,
oryx ni wezi sana wanajiharibia biashara,..
.Tanzania Ukipewa Leseni Ya Biashara Hakuna Anaye Kufwatilia Tena, Mpaka Kutekee Janga au Tatizo Ndo Wakumbuke.
ory nilishauachana nao,taifa wako vizur na hata bei
14,500 mtungi wa kg 14 (ile size inayotumiwa na familia nyingi).Bei ngapi?
Huko mbali bucha za nyama na samaki sijui wanafutumia zile za digital wanatupiga hataliHasa walanguzi wa mazao ya wakulima huko vijijini, mfano ufuta, choroko, wanawapiga sana kwa kubana mizani......lakini mamlaka ya vipimo wapo wanakula kiyoyozi tu ofisini.
Ule kilo 15 mtungi wa kati14,500 mtungi wa kg 14 (ile size inayotumiwa na familia nyingi).
Hii ni Bei ya hapa Ubungo Shekilango.
Namaanisha kale kadogo. Wanakotumia vijana wanaoanza maisha. Bei yake 14,500/=Ule kilo 15 mtungi wa kati
Au unasemea kale kadogo
Pita madukani utapata tena pata kile kina button chini kinaitwa sensor inakata gesi kukiwa na leakage kubwaHiyo kichwa yenye gauge (geji) umepate wapi na mie nataka niwe nayo itanisadia kujua gesi imebaki kiasi gani. Na mie nina mitungi miwili ya kampuni tofauti, itanisadia kuendeleza utafiti wako