Mihanyenyi mkaya...

Hawa wanuka maziwa nao bwana.wauza bucha hawa,.ombaomba hawa
 
preta nadhani hao ni wagogo..nawasikiaga wakiongeaga hivyo

asante sana kwa kunisaidia....nilikuwa natamani sana nijue ni kabila gani....kuna chembechembe za ubantu humu kwenye hii lugha
 
Hawa wanuka maziwa nao bwana.wauza bucha hawa,.ombaomba hawa

Angalia dada yangu, si kila mtu ni hivyo, mdomo wako unasukutua kwa uharo nini mbona mchafu hivyo????
 
hata kama wewe si mgogo ukisoma kwa utulivu utaelewa, lugha nyingi zinafana ni raha sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…