Mihanyenyi mkaya...

Mihanyenyi mkaya...

Angalia dada yangu, si kila mtu ni hivyo, mdomo wako unasukutua kwa uharo nini mbona mchafu hivyo????
Jamani hawa ni watani zangu.usinielewe vibaya.By the way Natafuta house boy hope utafaa kukata majani ya ng'ombe
 
Wawaha ngoja niwape vunja mbavu moja...vijana wejete wagonile sasa yule mmoja akachukua ndyani yake yaitajile mmadako ya yule mwenzie hakuiingiza ila tu aliiweka kati kati ya masaburi na huku ikiwa imedisa kisha kujifanya amelala tena....blai kuamka anakuta ndo hivo...akaanza kufoka '' mwene machimo ukusaka nnoza chi? Yani ukusaka nnoza mitama mibi kweli? Huku akimsukuma jamaa nae eti akijifanya ndo anatoka usingizini eti bado ana mawenge ya usingizi akasema...''aa gwe nanii ndalu..alaba gwe ibiduchila gwe mwanangu...kah elo...alu ne ntajile du makusudi ne nna mahala madodo gwe...ibiduchila du gwe...mulungu ne'' hahaha jamaa linataka kuamini huku linasita sita...hahaha
 
Wagogo wengi wanapenda sana kupewa/kypokea vya wengine, ila wao wachoyoo...badilikeni!.
Naishi Chidach, Dodoma.
 
Back
Top Bottom