Hivi muna wajua Mademu wa Kipare(binamu zangu)?Wengi wao ni malaya na wenye kauli mbaya.Huyu jamaa itakuwa aliteseka sana.Tena mbona pale hajampiga kabisa jamaa hajui kupiga na anaonekana kama alikuwa tungi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Swali la kujiuliza kwanini nacky apigwe vile na kwanini clip itolewe sasa hivi
Mihayo VS Nacky. Mume alishinda kesi ya madai iliyofunguliwa na Nacky mkewe aliamuriwa amlipe mamilioni mia kadhaa kwa usumbufu na matatizo aliyoyasabisha. Demu alikuwa anataka mali ambazo zimemilikishwa watoto wao.
Demu kwa sasa hali ya kifedha yuko vibaya ndio maana kavujisha hii clip ili umma umuonee huruma.
Sababu ya huyu dada kupigwa ni kufumaniwa akitembea na rafiki wa karibu wa mumewe. Ambaye ni baller hapa town huyu jamaa. Vijana wa Tigo wanajua hii story.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiingereza chako kibovu kabisa. Si uandike Kiswahili tu.
Halafu usije ukasema na wewe ulifaulu π Na ikiwa ulifaulu, nasema wazi wazi, hiyo mitihani ni majanga.
hayo mahojiano yapo YouTube?Mwanaume oa mwanamke wa level yako...or else utaishia jela mara umepiga mara umeua ...nimesikiliza intavyuu ya jamaa nimemuona bogus kweli...siku zote ataekufanya mwanaume uendelee ni mwanamke. mwanamke wako akiwa anataka ghorofa utafight kujenga ghorofa..mwanamke wako akiwa anataka range utafight kupata range....sasa wewe kama unaona unaonewa kwa yeye kukwaambia tunahitaji kuishi namna hii tutoke hapa jua huyo sio level yako ...na mwanamke ambae unaishi Chumba kimoja na yeye karidhika hakusumbui jua hamtafika kokote bro..ni hayo tu
I am not saying you should all agree with me.
Mzee mwanamke akisha amua jambo lake atalifanya tu... utampiga kila siku?
Your muscles are there to protect not otherwise... you are a security not a war zone.
There is a reason we have two heads (am joking).
vipi una uzoefu nini?Kuna makabila wanawake wakipigwa ndiyo anaona anapendwa ,lakini turudi kwenye mada nitazungumzia mambo mawili moja ukiona mwanaume amefiki hatua ya kumpiga mwanamke ujue ana mapenzi ya dhati kabisa na amestik na mwanamke huyo huyo hana michepuko so huwa inauma kwa mwanaume kuwekeza akili na nguvu nyingi kimapenzi kwa mwanamke anaempenda haswa na akachezewa akili na huyo mwanamke, so likitokea jambo ameona mienendo ya huyo mwanamke inaenda ndivyo sivyo huwa inatia hasira na ni ngumu kujizuia kuparangana nae
Jambo lingine ni mdomo wa mwanamke, mwanaume akioa mwanamke mwenye mdomo ukweli ni kwamba atapigwa tu hakuna namna, na sio kwamba mwanaume ni hulka zetu kuwapiga wanawake sema ni midomo ya baadhi ya wanawake, kuna mwanamke anaweza akakusema yani hasira zikipanda kushuka ni mtihani,so maamuzi unakuta ni kupiga.
Kwamfano umelala mwanamke akikuingiza dole unafanyaje ?Kama alioa dem wa mjini mjini Kazi ipo!
Ushauri tu kwa wanaume kama mwanamke Ana kuzingua au mnazinguana mwache aende zake!
Utakuja kuishia jela.......ohoooooo
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Jela kama ni kwenda utaenda tu, siyo lazima ufanye kosa. Hapa ni Africa.Sasa kwa sifa ulizozitaja hapo unafikiri Angemuua hyo Dada asingeenda jela
Kama mwanamke anamzingua aachane naye
Tena anampa hadi vikwazo vya uchumi
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni Mzanaki.Bila shaka wewe ni mkurya,haiwezekani ukatetea mwanamke kupigwa namna hiyo
ukimpenda mwanamke anakuona falaKwa experience yangu ndogo, kuna wanaume ambao kupiga ni hulka yao ambao hawa ni nadra sana kukutana nao yaani katika mtaa mzima wanaweza wasifike watatu
Kuna wengine unakuta amewekeza kwa mtu mmoja, wapole na very faithful halafu unakuta mwanamke anatumia hiyo chance kumnyanyasa maana huwaona mabwege. Hawa mazoba siku wakichoka huwa hawatabiriki reactions zao. Ukisoma comments za watu wanaomjua utaona aliangukia katika group la pili. Alifanya vibaya lakini kwa upande wa pili ni victim pia
AhsanteAchilia mbali kupigana, Kumpiga mwanamke ni ujinga!
Sijasema Upumbavu nimesema Ni Ujinga!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kutana na mabazazi wote wa mjini. Wanachomeka kwenye kila tundu wanaloliona.Acha wote tuwe malaya nyumba iitwe dangulo π π π π
Kwa hili alilolifanya daah am not sure km yataendelea hayo yoteHuyu jamaa hana undugu na jaji mihayo.
Huyu ni mnyamwezi wa Tabora na Black American. Ana uraia wa marekani sababu Baba yake marehemu alikuwa ni African American. Dogo kapiga shule Mtoni na yuko super smart kichwani. Ana maadili pia ya kiafrika na heshima na mtu wa watu sana hajisikii.
Yuko njema cribs tatu nne za maana, Mandinga ndio kama yote ya maana halagu janki mdogo. Ana proffessional network ya kufa mtu duniani. Yukovizuri Us embassy inamtambua na inampa fursa sana kama kijana smart
Sent using Jamii Forums mobile app
akikujibu unitagMkuu wote ni binadamu na wote tuna damu na nyama, usitende kosa kumuumiza mwingine kila mmoja ana ustahamilivu wake, kama mumeo hakufai ondoka usije kwake kujiegesha upate hadhi ya mke wakati hutimizi wajibu wako, acha wanyukwe kwa sababu kwanza ni wanafiki wanataka ulimwengu uwaone tofauti na walivyo pili wanumiza wengine, unyukwe ujirekebishe au uondoke au uondolewe. Mbona vipoko wanachapwa watoto kwani ni mzazi kashindwa kujisimamia?
hamna ubaya,nyie mlosoma HKL,huwa mnasoma history ya 1880s lakin sasa hv ndo mnajadili24/03/2015 video ilirekodiwa
Kwaiyo ndio tunaijadili mwaka 2020
akikujibu unitagUnadhani wale wanaofungwa kwa kuua adhabu zao zinarudisha marehemu waliokufa ???
Sent using Jamii Forums mobile app