Mihayo Wilmore anayedaiwa kumpiga mkewe Nackitia Nyange "kipigo cha mbwa koko" ni nani?

Mihayo Wilmore anayedaiwa kumpiga mkewe Nackitia Nyange "kipigo cha mbwa koko" ni nani?

Mbona sijaona Kipigo nyie acheni upuuuzi. Huko kupapaswa ndio mnasema kipigo. Wanaume wa Daaaslam kwakweli bure kabisaaaaaa. Mwambieni akamuuulize Mama Chacha maaana ya kichapo pale mitaaa ya Kitunda
 
Sipati picha tukio lingetokea kwa trump na huu ushahidi.
 
Lazima kuna mambo hatuyajuwi sisi tulio nje ya ndoa yao, ila mke akileta za dharau ujuaji na kiburi yakimkuta kama haya lazima afundishwe adabu, wanawake wa kileo ni shida sana sana...
 
Before establishing Twigalpha, Mihayo was a founding partner of UmojaOne, the parent company of UhuruOne, SBB, and Telesis Tanzania which owns the Spectrum popularly known as Tigo 4G operated by Tigo Tanzania. His experience spans four continents; Africa, Europe, North and South America and has worked with leading brands such as Microsoft, Cisco, Alcatel, Celtel, Tigo, MTN, Zantel, Zain, Airtel and Unisys.
Jamaa na ma cv yoote haya bado mke aheshimu mumewe.kweli anastahili kichapo.....ha ha utani !!!!! turudi kwenye mada kuu.....
hakuna mwanaume asiyepiga.....
tumetofautiana kwenye levo za provocation...
wengine wana hasira za haraka /short fused men....
wengine hasira zao zipo mbali. hawa ndio wabaya siku akipiga mwanamke anauwa
all in all hakuna mwanaume anayependa kupiga mkewe......
wanawake heshimu waume zenu punguzeni midomo michafu
 
Jamaa na ma cv yoote haya bado mke aheshimu mumewe.kweli anastahili kichapo.....ha ha utani !!!!! turudi kwenye mada kuu.....
hakuna mwanaume asiyepiga.....
tumetofautiana kwenye levo za provocation...
wengine wana hasira za haraka /short fused men....
wengine hasira zao zipo mbali. hawa ndio wabaya siku akipiga mwanamke anauwa
all in all hakuna mwanaume anayependa kupiga mkewe......
wanawake heshimu waume zenu punguzeni midomo michafu
Mkuu umeongea vema, kuna Bidada Fulani alikuwa anasema kupiga mwanamke ni ujinga na kutokuwa na ustaarabu, nikamwambia hayo maneno unayosema kwa wanaume ndio hupelekea kupigwa.
 
Back
Top Bottom