Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona sijaona Kipigo nyie acheni upuuuzi. Huko kupapaswa ndio mnasema kipigo. Wanaume wa Daaaslam kwakweli bure kabisaaaaaa. Mwambieni akamuuulize Mama Chacha maaana ya kichapo pale mitaaa ya Kitunda
Kweli unaoa mwanamke kama huyu jamani.dada wa mjini hapa ni kama kuandikisha mkataba na blood pressure.....hatar sana
Jamaa na ma cv yoote haya bado mke aheshimu mumewe.kweli anastahili kichapo.....ha ha utani !!!!! turudi kwenye mada kuu.....Before establishing Twigalpha, Mihayo was a founding partner of UmojaOne, the parent company of UhuruOne, SBB, and Telesis Tanzania which owns the Spectrum popularly known as Tigo 4G operated by Tigo Tanzania. His experience spans four continents; Africa, Europe, North and South America and has worked with leading brands such as Microsoft, Cisco, Alcatel, Celtel, Tigo, MTN, Zantel, Zain, Airtel and Unisys.
Mkuu umeongea vema, kuna Bidada Fulani alikuwa anasema kupiga mwanamke ni ujinga na kutokuwa na ustaarabu, nikamwambia hayo maneno unayosema kwa wanaume ndio hupelekea kupigwa.Jamaa na ma cv yoote haya bado mke aheshimu mumewe.kweli anastahili kichapo.....ha ha utani !!!!! turudi kwenye mada kuu.....
hakuna mwanaume asiyepiga.....
tumetofautiana kwenye levo za provocation...
wengine wana hasira za haraka /short fused men....
wengine hasira zao zipo mbali. hawa ndio wabaya siku akipiga mwanamke anauwa
all in all hakuna mwanaume anayependa kupiga mkewe......
wanawake heshimu waume zenu punguzeni midomo michafu
Hata mimi nilikuwa kama wewe ila hujakutwa na situation.....usiongelee situation ya mwenzako never......Achilia mbali kupigana, Kumpiga mwanamke ni ujinga!
Sijasema Upumbavu nimesema Ni Ujinga!
Sent using Jamii Forums mobile app