Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
Imekuwa ndio utambulisho wao, na vyama vyao. The tone of their articles, styles of their replies and comments, the languages they use in conversations and engagements, represents fully their political blocks they belong.
Mihemko, panic, ghadhabu na hasira miongoni mwao zimekua zikiwachochea kuhitimisha hoja zinazo ibuliwa dhidi ya masula mbalimbali humu nchini, kwa kutukana na kuporomosha matusi yasiyo na tija, maana wala faida yoyote kwa mustakabali wao.
Bali kuchochea migawanyiko zaidi miongoni mwao kwasababu mtukanaji na asie mtukanaji hawawezi kua na umoja, lakini pia kua na lengo au nia moja. 🐒
Kumpambania malengo na vipaumbele vya vijana na ili vifanikiwe panahitajika umoja, nidhamu na heshima ya kiwango cha juu sana miongoni mwao.
Hali ya kundi fulani kujiona ndilo bora zaidi kwa matusi bila hoja, na kwamba wanachoibua wao hata kama hakina maana yoyote, wanataka kisi hojiwe au kuwa challenged kwa hoja, bali kiwe hivyo hivyo kadiri watakavyo wao.
Hii si sawa na haina afya kwa umoja miongoni mwa vijana.
Hali hii isipobadilika, itawachelewesha sana vijana kupiga hatua mbele, na kusababisha mahitaji yao ya msingi kutotambuliwa kama ambavyo yanatambuliwa mahali pengine, Africa Mashariki 🐒
Ni muhimu zaidi kujifunza kujadiliana au kujibu hoja kwa hoja kiungwana, na sio kwa mihemko, matusi au kutukana.
Ni muhimu zaidi pia kujifunza kuwa wastahimilivu, kujizuia na hali hiyo ya fedheha inayoashiria ukomo wa fikra na kukata tamaa 🐒
Mihemko, panic, ghadhabu na hasira miongoni mwao zimekua zikiwachochea kuhitimisha hoja zinazo ibuliwa dhidi ya masula mbalimbali humu nchini, kwa kutukana na kuporomosha matusi yasiyo na tija, maana wala faida yoyote kwa mustakabali wao.
Bali kuchochea migawanyiko zaidi miongoni mwao kwasababu mtukanaji na asie mtukanaji hawawezi kua na umoja, lakini pia kua na lengo au nia moja. 🐒
Kumpambania malengo na vipaumbele vya vijana na ili vifanikiwe panahitajika umoja, nidhamu na heshima ya kiwango cha juu sana miongoni mwao.
Hali ya kundi fulani kujiona ndilo bora zaidi kwa matusi bila hoja, na kwamba wanachoibua wao hata kama hakina maana yoyote, wanataka kisi hojiwe au kuwa challenged kwa hoja, bali kiwe hivyo hivyo kadiri watakavyo wao.
Hii si sawa na haina afya kwa umoja miongoni mwa vijana.
Hali hii isipobadilika, itawachelewesha sana vijana kupiga hatua mbele, na kusababisha mahitaji yao ya msingi kutotambuliwa kama ambavyo yanatambuliwa mahali pengine, Africa Mashariki 🐒
Ni muhimu zaidi kujifunza kujadiliana au kujibu hoja kwa hoja kiungwana, na sio kwa mihemko, matusi au kutukana.
Ni muhimu zaidi pia kujifunza kuwa wastahimilivu, kujizuia na hali hiyo ya fedheha inayoashiria ukomo wa fikra na kukata tamaa 🐒