Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
- Thread starter
- #21
possibly hizi zaweza kua miongoni mwa vichocheo vya mihemko na panicMbona hata sisi wengine tumesoma za kata lakini tunajitambua? nadhani ni malezi mabaya tu ya wazazi
1. hasira mikeka kuchanika
2. malezi yasiyo kua mazuri ya wazazi eg. kudekezwa 🐒
3.kufuatilia mpira EPL, UEFA n.k
4. ukosefu wa ajira
5.ukosefu wa mitaji
6.unywaji pombe, mapenzi na uvutaji madawa ya kulevya
7.lack of nice tones, discipline and knowledge on presenting their issues respectful