Buyaka
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 1,705
- 1,953
CYANIDE iliyotumika na Adolf Hitler kuuwa Wayahudi ipo kwenye MIHOGO MIBICHI!
Na mpaka leo bado inatumika kwenye hukumu za vinyongo kwenye nchi kama Marekani jimbo la Arizona.
Sisi tukitaka kuua mtu tunampiga na mawe, petroli, viberiti... taharuki. Lakini njia moja ya kuua mtu bila kuzua taharuki ni kumpa CYANIDE.
Mihogo mibichi ni hatari. Chemsha, kaanga, pikia ugali, tengenezea pombe (fermantation degrades cyanides)
....do something!
Ukichemsha dakika 15 unaharibu enzyme ya linamarase ndani ya mihogo mibichi ambayo ndio inayo release hizo cyanides mwilini kama ukiila mibichi.
Tuache kutafuna mihogo mibichi.
LA MWISHO: Mtu asikudanganye kwamba maziwa ni dawa ya sumu. HAKUNA mahala popote duniani pameandikwa maziwa yana neutralize sumu mwilini. Tafuta, hutapata!
Na mpaka leo bado inatumika kwenye hukumu za vinyongo kwenye nchi kama Marekani jimbo la Arizona.
Sisi tukitaka kuua mtu tunampiga na mawe, petroli, viberiti... taharuki. Lakini njia moja ya kuua mtu bila kuzua taharuki ni kumpa CYANIDE.
Mihogo mibichi ni hatari. Chemsha, kaanga, pikia ugali, tengenezea pombe (fermantation degrades cyanides)
....do something!
Ukichemsha dakika 15 unaharibu enzyme ya linamarase ndani ya mihogo mibichi ambayo ndio inayo release hizo cyanides mwilini kama ukiila mibichi.
Tuache kutafuna mihogo mibichi.
LA MWISHO: Mtu asikudanganye kwamba maziwa ni dawa ya sumu. HAKUNA mahala popote duniani pameandikwa maziwa yana neutralize sumu mwilini. Tafuta, hutapata!