Asante, je how to make Crisps za viazi? Not chips though!
Katika ubora wako! ---Unatusaidia sana sisi bachelaz
Duh hio pic ya avatar yako kama ex-wangu anaitwa Amelia.
I wish ningekutumia pic zake ukaziona lakini mmhh sikutwa ukawa dume wewe ukazipigia nyeto[emoji51] [emoji12] [emoji12]Okay basi she's beautiful
I wish ningekutumia pic zake ukaziona lakini mmhh sikutwa ukawa dume wewe ukazipigia nyeto[emoji51] [emoji12] [emoji12]
[emoji87] [emoji87] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Watch your mouth
Thanks kwa kunitamanisha habibty.
Nimeimisije........ [emoji24]
Umekula mhogo wa sh. Tano? Kumbe umekua kua[emoji125]Unakumbuka enzi za shule [emoji23][emoji23][emoji23] mmoja sh 5
Umekula mhogo wa sh. Tano? Kumbe umekua kua[emoji125]
Wewe ndo umewafundisha pale coco beach nini?Mahitaji
Muhogo uliomenywa Na kukatwa vipambe ukubwa kiasi
Mafuta
Chumvi Na pilipili kavu twanga pamoja
Namna ya kutaarisha
Chemsha muhogo wako Na maji hadi uwive Na kua laini (angalia usivurugike)
Mwaga maji uliochemshia
Katika karai weka mafuta jikoni hadi yapate moto
Weka mihogo Na kaanga hadi ubadilike rangi kiasi
Toa weka kwenye sahani tayari kwa kula pamoja Na pilipili
Wewe ndo umewafundisha pale coco beach nini?
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Katika ubora wako! ---Unatusaidia sana sisi bachelaz