Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simsemi mtu yeyote ila nimenukuu usemi huo. Je, una Uhalisia katika Utawala na maisha ya unyumba? Iwe singo mazas, Je, kuna kweli nyumba asokuwa na mume huondokewa miiko na maadili? Nadhani hoja hapa ni watoto! Tujadili sote..Ngoja kwanza,
Unataka kuwasema singo mazas au unataka kuisema serikali ya Dakta Samia?
Tujue tunaenda endaje hapa
Hatuwezi kulijadili hili swala linahusu Shule ya Uongozi. Umtafute Polepole awepo ndiye atatanzua hili kwani ndiye mtaalamu. Japokuwa walimbeza sana Sasa tunarudi kulekule.! TanzaGiza!!Nimesoma pahala maneno mazito ya kufikirisha, yakisema hivi: - "Utawala usiokuwa na Miiko wala Maadili ni sawa na nyumba isokuwa na mume" Je, unakubaliana na maneno haya? Tujadili...
Maoni ya msemo huo ni "mfumo Dume", ambao baadhi ya watu wa leo duniani hawauamini.Nimesoma pahala maneno mazito ya kufikirisha, yakisema hivi: - "Utawala usiokuwa na Miiko wala Maadili ni sawa na nyumba isokuwa na mume" Je, unakubaliana na maneno haya? Tujadili...
Nakubaliana na wewe.Maoni ya msemo huo ni "mfumo Dume", ambao baadhi ya watu wa leo duniani hawauamini.
Kuna "nyumba zilizo na waume", lakini hazina maadili; baba mlevi kupindukia, na mama naye anafanya yake kivyake , na watoto hali kadhalika...
Welcome back to JF Mkuu MkandaraNimesoma pahala maneno mazito ya kufikirisha, yakisema hivi: - "Utawala usiokuwa na Miiko wala Maadili ni sawa na nyumba isokuwa na mume" Je, unakubaliana na maneno haya? Tujadili...
Mkuu kwa 100% nakubaliana nawe.Nimesoma pahala maneno mazito ya kufikirisha, yakisema hivi: - "Utawala usiokuwa na Miiko wala Maadili ni sawa na nyumba isokuwa na mume" Je, unakubaliana na maneno haya? Tujadili...
Miiko na maadili hukaa kwenye matendo na vichwa vya watu , sheria maudhui ndani yake imebeba miiko na maadili.Je, kuna sheria zozote zilizoainishwa za maadili hayo? Miiko hiyo...
Swali zuri. Miiko ni mambo ambayo yasipozingatiwa yataathili ukoo, kizazi au jamii husika. Maadili ni mambo mema ya heri katika jamii yanayotakiwa kukuzwa.Nimesoma pahala maneno mazito ya kufikirisha, yakisema hivi: - "Utawala usiokuwa na Miiko wala Maadili ni sawa na nyumba isokuwa na mume" Je, unakubaliana na maneno haya? Tujadili...
Kwa maana hiyo, kila mtu anaweza kuwa na "miiko na maadili" yake, tofauti na wengine au siyo?Miiko na maadili hukaa kwenye matendo na vichwa vya watu , sheria maudhui ndani yake imebeba miiko na maadili.
Kimsingi huhitaji kulist miiko na maadili maana hukaa katika vichwa vya watu.
Kwa kawaida uwepo wa Miiko na Maadili ni kuhifadhi Tamaduni, mila na desturi za jamii na umuhimu wake katika Katiba na sheria ni kulinda UTU wa Jamii husika.Swali zuri. Miiko ni mambo ambayo yasipozingatiwa yataathili ukoo, kizazi au jamii husika. Maadili ni mambo mema ya heri katika jamii yanayotakiwa kukuzwa.
Miiko na maadili ni maswala yanayohusu muktadha au mazingira ya jamii husika. Katiba na sheria husimamia taratibu zinazolinda mahusiano katika nchi.
Katiba na sheria ni za kitaasisi lakini miiko na maadili yanatokana na mapokeo, mazoea na uelewa wa jamii husika.
Kwa mfano mwiko wa kula nyama mbichi au maadili ya kuto oa mwanamke ambaye kwa umri wake angeweza kuwa binti yako ni mifano ya mwiko na maadili, kwa mfuatano, ambayo kukubalika kwake inategemea muktadha unaohusu jamii au kipindi gani katika historia; na si katiba wala sheria.
Hata Utawala wanasema ni mfumo Dume. Je, mfumo Jike ukoje? Hivi kuna kosa gani kuwepo mfumo dume ikiwa pasipo mbegu hutapata mavuno.Nakubaliana na wewe.
Huu msemo unatukuza mfumo dume na hivyo unapoteza mantiki.
Kwani nyumba zote zilizo na waume zina maadili na nyumba zote zisizo na waume hazina maadili? I dout it big time!
Mkandara wewe kama ni second generation basi Tambua wewe ni tokeo la huo ufisadi, kiasi unakosa Authority ya kuukosoa au kuzungumza vibaya kama Ambavyo muandishi alipotray kwenye kitabu "The Beautyful Ones Are Not Yet Born" Ayi Kwei Armah credit kwakeSimsemi mtu yeyote ila nimenukuu usemi huo. Je, una Uhalisia katika Utawala na maisha ya unyumba? Iwe singo mazas, Je, kuna kweli nyumba asokuwa na mume huondokewa miiko na maadili? Nadhani hoja hapa ni watoto! Tujadili sote..
Kiutawala binafsi naafiki hoja na kwamba Katiba inayokosa Miiko na Maadili hujenga sheria mbovu na chanzo cha Ufisadi (Uharibifu) nikujibu swali lako, Katiba haikuandikwa na Mama Samia..
Daaah ,sasa First generation ndio kina nani? Adam na Hawa au?!!Mkandara wewe kama ni second generation basi Tambua wewe ni tokeo la huo ufisadi, kiasi unakosa Authority ya kuukosoa au kuzungumza vibaya kama Ambavyo muandishi alipotray kwenye kitabu "The Beautyful Ones Are Not Yet Born" Ayi Kwei Armah credit kwake