Magical power
JF-Expert Member
- Sep 27, 2022
- 2,158
- 5,626
Miili ya waliofariki Kariakoo ikiwa tayari kwa kuanza kuagwa💔🕊
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole Mungu kakuokoa nduguSiku moja kabla ya jengo kuanguka nilienda pale kuomba kibarua, wakati nasubiria subiria nikapigiwa simu niende mtaa wa Arusha kuna kazi.
Sasa najiuliza pale ningèpata kazi sijui ningekuwa marehemu au ningeokolewa
Siyo kufa kwa uzembe wa wapmbv fulani...tunajuwa kifo kipoRIP
N swala la muda tu hata mm na wewe tutapitaa hii njia mletaa mada...
Hilo ghorofa lilijengwa mwaka gani? Kuna wakati, hata kama mtu humpendi, usimsingizie kitu kisa unachuki naye.Serikali ya awamu ya sita imesavabisha mauaji Kwa kuruhusu ujenzi holela usiofuata taratibu za ujenzi.huyu mama ajiuzulu
Kwa mtazamo huu, hakuna sababu ya kuwa na sheria ya kumfunga, au kunyonga mtu aliyeuwa mtu mwingine..!!RIP
N swala la muda tu hata mm na wewe tutapitaa hii njia mletaa mada...
Kifo n kifo tu mkuu wangu na hakijawahi kukosa sababu hata cku mojaaa.........Siyo kufa kwa uzembe wa wapmbv fulani...tunajuwa kifo kipo
Ova
Kuna kukusudia na bahati mbayaa mkuu,Kwa mtazamo huu, hakuna sababu ya kuwa na sheria ya kumfunga, au kunyonga mtu aliyeuwa mtu mwingine..!!
Hilo ghorofa limejengwa zamani lakini kunajingine pembeni lilikuwa linajengwa jipya ambalo halikufuata taratibu za ujenzi lililoruhisiwa na awamu ya sita ndiyo likasababisha kuliangusha Hilo ambalo limeanguka.awamu ya sita imehusikaHilo ghorofa lilijengwa mwaka gani? Kuna wakati, hata kama mtu humpendi, usimsingizie kitu kisa unachuki naye.
Iwe kwa kukusudia au ya bahati, ulichokisema kwamba, MWISHO WA SIKU WOTE TUTAKUFA, maana yake kwa vile tutakufa hatuna sababu ya kumshitaki yeyote kwa mauwaji. Nasisitiza, kwa mtazamo wako wa kuwa mwisho wa siku wote tutakufa, basi hatuna sababu ya kuwa na sheria ya kumfunga au kumnyonga mtu aliyemuuwa mwingine.Kuna kukusudia na bahati mbayaa mkuu,
Kwa mtazamo huu, ni awamu zote, which means ni CCM..!!!Hilo ghorofa limejengwa zamani lakini kunajingine pembeni lilikuwa linajengwa jipya ambalo halikufuata taratibu za ujenzi lililoruhisiwa na awamu ya sita ndiyo likasababisha kuliangusha Hilo ambalo limeanguka.awamu ya sita imehusika
Painful endðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ wapumzike kwa amaniMiili ya waliofariki Kariakoo ikiwa tayari kwa kuanza kuagwa💔🕊View attachment 3155384