aise
JF-Expert Member
- May 16, 2018
- 5,175
- 16,488
Nilienda pale kuomba kibarua sasa baada ya kusubiri sana nikapigiwa simu niende mtaa wa Arusha kuna kibarua, nikaondoka, kama kesho nasikia limeangukaUngekuwa unagonga mabikra 72
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilienda pale kuomba kibarua sasa baada ya kusubiri sana nikapigiwa simu niende mtaa wa Arusha kuna kibarua, nikaondoka, kama kesho nasikia limeangukaUngekuwa unagonga mabikra 72
Ndio ungekuwa kwa peponi sahiziNilienda pale kuomba kibarua sasa baada ya kusubiri sana nikapigiwa simu niende mtaa wa Arusha kuna kibarua, nikaondoka, kama kesho nasikia limeanguka
Wanasubiri tufe ili watununulie majeneza ya gharama. Lakini kuweka mipango mikakati ya muda mrefu ili kupunguza madhara yanayosababushwa na majanga, hawaweziMiili ya waliofariki Kariakoo ikiwa tayari kwa kuanza kuagwa💔🕊View attachment 3155384
Mbona maghorofa mengi nchi za wenzetu ni ya miaka mingi sana lakini hayaporomoki?Hilo ghorofa lilijengwa mwaka gani? Kuna wakati, hata kama mtu humpendi, usimsingizie kitu kisa unachuki naye.
Umepata funzo kuwa achana na kazi utapoza uhai kwa jambo la kijinga. Lala hm tu hutadondokewa na ghorofa hataaaSiku moja kabla ya jengo kuanguka nilienda pale kuomba kibarua, wakati nasubiria subiria nikapigiwa simu niende mtaa wa Arusha kuna kazi.
Sasa najiuliza pale ningèpata kazi sijui ningekuwa marehemu au ningeokolewa
Knockout to sleep hii.Wanasubiri tufe ili watununulie majeneza ya gharama. Lakini kuweka mipango mikakati ya muda mrefu ili kupunguza madhara yanayosababushwa na majanga, hawawezi
RIP.Siku moja kabla ya jengo kuanguka nilienda pale kuomba kibarua, wakati nasubiria subiria nikapigiwa simu niende mtaa wa Arusha kuna kazi.
Sasa najiuliza pale ningèpata kazi sijui ningekuwa marehemu au ningeokolewa
Poleni sana ndugu zetu, somo muhimu ni kuwa tayari mda wowote hasa sisi wenye wategemezi. Akiba ni muhimu sana.Miili ya waliofariki Kariakoo ikiwa tayari kwa kuanza kuagwa💔🕊View attachment 3155384
Hua ni muongo siku zoteKasimu alikuwa anawahi nini kutamka aliyekufa ni mmoja tu
Kwani Kuna tatizo wakiendelea kitawala?Kwa hizi akili CCM wataendelea kuitawala hii nchi
Nakuelewa sana. Hata hall 5 na hall 2 pale UDSM ni ya enzi hizo. lakini uwepo wa hayo hauhalalishi uporomokaji wa haya ya sasa..!!Mbona maghorofa mengi nchi za wenzetu ni ya miaka mingi sana lakini hayaporomoki?
Kwani ikulu ni ya mwaka gani?
Ina umri sawa na ghorofa hilo la juzi?
Naam! Basi tujue kuwa wanaosimamia ujenzi wa majengo ya sasa hawazingatii vigezo vya kitalaam.Nakuelewa sana. Hata hall 5 na hall 2 pale UDSM ni ya enzi hizo. lakini uwepo wa hayo hauhalalishi uporomokaji wa haya ya sasa..!!
Nenda kamshukuru aliyekunyima kazi na uumpe asante yake,na zile dua mbaya ulizomuombea alipokunyima kazi muombe Mungu wako azifute haraka iwezekanavyo!!Siku moja kabla ya jengo kuanguka nilienda pale kuomba kibarua, wakati nasubiria subiria nikapigiwa simu niende mtaa wa Arusha kuna kazi.
Sasa najiuliza pale ningèpata kazi sijui ningekuwa marehemu au ningeokolewa