Wana kufa sana "life expectancy" 45 -55yrs yao ni ndogo isipo kua wanaishi Bush watu hawawafuatilie sana, huwezi kutofautisha mzee wa miaka sitini na kijana wa 35 wanafanana maisha yao magumu sana, ndo maana jamii zao haziongeziki ni wachache siku zote,Habari zenu watu wa humu.
Moja kwa moja niende kwenye mada nisiwachoshe na salaam. Katika pitapita zangu na kuzunguka baadhi ya mikoa hapa Tanzania, nimegundua jamii za wafugaji Kama wamasai, wakurya, wasandawe, wasukuma nk.., wana asili ya urefu tena wana afya Sanaa tofauti na jamii za wakulima ni wafupi asilimia kubwa Kama waha, walugulu, wapogoro nk..
Swali langu ni je? Hizi jamii za wafugaji wanapata lishe nzuri tofauti na hawa wakulima? Au hii inatokana na nini wakati na wao wanalima wanapata mazao(mlo kamili).
Kwahio vifo vyao vinasababishwa na nini hasa?Wana kufa sana "life expectancy" 45 -55yrs yao ni ndogo isipo kua wanaishi Bush watu hawawafuatilie sana, huwezi kutofautisha mzee wa miaka sitini na kijana wa 35 wanafanana maisha yao magumu sana, ndo maana jamii zao haziongeziki ni wachache siku zote,
Itakuwa sababu ni miili yenye nguvu,urefu na ukubwa wa miili(?)π€π€Kwahio vifo vyao vinasababishwa na nini hasa?
Lishe mbaya na kukosa matubabu sahihiKwahio vifo vyao vinasababishwa na nini hasa?
Ufupi si tatizo, ufupi inaweza kuwa ni muendelezo wa vinasaba (genetic). Tatizo ni huo ufupi unaotokana na kudumaa! Kuna mkoa mmoja ni moja ya mikoa vinara (big five) wanaozalisha mazao mengi kiasi cha kutegemewa na nchi yetu, lakini ajabu ni kuwa ndio mkoa unaoongoza kwa watu (watoto) kudumaa.Habari zenu watu wa humu.
Moja kwa moja niende kwenye mada nisiwachoshe na salaam. Katika pitapita zangu na kuzunguka baadhi ya mikoa hapa Tanzania, nimegundua jamii za wafugaji Kama wamasai, wakurya, wasandawe, wasukuma nk.., wana asili ya urefu tena wana afya Sanaa tofauti na jamii za wakulima ni wafupi asilimia kubwa Kama waha, walugulu, wapogoro nk..
Swali langu ni je? Hizi jamii za wafugaji wanapata lishe nzuri tofauti na hawa wakulima? Au hii inatokana na nini wakati na wao wanalima wanapata mazao(mlo kamili).
Mwenzio kaongelea jamii ya wakulima ndiyo wanakufa sana.Tangu lini mtu anakula protein kwa wingi akawa na afya dhaifu na akadumaa?Itakuwa sababu ni miili yenye nguvu,urefu na ukubwa wa miili(?)[emoji848][emoji848]
ππ Umeeleza vizuri Sanaa.Kuna mmoja japo amefuta comment yake et alisema wafugaji wanakuwa warefu kwasabab wanasimama mda mrefu,wanatembea kuchunga mifugo mda mrefu afu wakulima wengi wanakuwa wafupi kwasababu wanalima wameinama πππππππ€£π€£π€£ππUfupi si tatizo, ufupi inaweza kuwa ni muendelezo wa vinasaba (genetic). Tatizo ni huo ufupi unaotokana na kudumaa! Kuna mkoa mmoja ni moja ya mikoa vinara (big five) wanaozalisha mazao mengi kiasi cha kutegemewa na nchi yetu, lakini ajabu ni kuwa ndio mkoa unaoongoza kwa watu (watoto) kudumaa.
Sasa najiuliza, ina maana haya mazao wanayolima wanapeleka wapi?! Wengine watasema: wanadumaa kwa kuwa hawana mifugo kama Wasukuma, Wamasai, Wasandawe, nk. Hii sio kweli, kwani protein inapatikana pia katika baadhi ya mazao! Mazao kama maharage (sio mkurugenzi mtendaji wa Tanesco), choroko, mbaazi, dengu, njegere, nk; haya ni mazao yenye protein nyingi tu, pengine kukaribiana au sawa na nyama!
Sasa ndugu zetu nyie Wahehe, kwanini mnadumaa kwa kukosa lishe ilhali nyie ndie mnaozalisha mazao kupita mikoa mingine hapa nchini? Au mazao yote mnauza bila kubakiza akiba ya chakula na hivyo kula vyakula duni kama mafyulisi na ulanzi? Acheni tabia hiyo mara moja.
Nyie mliaminiwa sana enzi za Mwalimu nyerere, kiasi cha kuwaweka idara nyeti! Hii ilitokana na uwezo wenu kiakili na maadili, tunataka muendelee kuwa hivyo. Hivi mnajuwa mtoto akidumaa mwili na akili inadumaa?
Watu wengine wenye tabia mbaya ni baadhi ya makabila kutoka mkoa wa Tanga. Hawa sasa wanachofanya sio tu kuwasababishia udumavu watoto wao, bali pia ni kituko katika jamii! Eti jitu zima na midevu yake, lionamtoa mtoto kwenye ziwa la mamake (mama mwenye mtoto) halafu linanyonya lenyewe maziwa ya mtoto! Hivi nyie hamna huruma kwa watoto wenu kweli?! Wewe si ulinyonya kwenye kipindi cha utoto wako?! Babako angekudhurumu maziwa ya mamako si ungekufa au ungedumaa?
Wewe ni mtu mzima, una meno, unaweza kula, mtoto anategemea maziwa tu ya mama yake. Sasa wewe unakula chakula (ugali, nyama, nk), ukimaliza unaenda kunyonya na maziwa ya mtoto, huyo mtoto atakuwa na afya kweli?! Waachieni watoto maziwa ya mama zao, wanyonye, wakue na kuimarika kiafya. Na bahati nzuri waziri wa afya anatoka huko, hivyo msimuangushe!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanaume kunyonya maziwa ya mtoto,hili tatizo wa kuwajibishwa ni mwanamke ivi kwani hawezi kuwa mkali kwa huyo mwanaume amkatalie maana hio ni haki ya mtoto kwa kipindi hicho,wanahitaji wapelekewe elimu zaidi huko.Watoto wanadumaa kuanzia mwili Hadi akili kwa uzembe wa watu wazima.Ufupi si tatizo, ufupi inaweza kuwa ni muendelezo wa vinasaba (genetic). Tatizo ni huo ufupi unaotokana na kudumaa! Kuna mkoa mmoja ni moja ya mikoa vinara (big five) wanaozalisha mazao mengi kiasi cha kutegemewa na nchi yetu, lakini ajabu ni kuwa ndio mkoa unaoongoza kwa watu (watoto) kudumaa.
Sasa najiuliza, ina maana haya mazao wanayolima wanapeleka wapi?! Wengine watasema: wanadumaa kwa kuwa hawana mifugo kama Wasukuma, Wamasai, Wasandawe, nk. Hii sio kweli, kwani protein inapatikana pia katika baadhi ya mazao! Mazao kama maharage (sio mkurugenzi mtendaji wa Tanesco), choroko, mbaazi, dengu, njegere, nk; haya ni mazao yenye protein nyingi tu, pengine kukaribiana au sawa na nyama!
Sasa ndugu zetu nyie Wahehe, kwanini mnadumaa kwa kukosa lishe ilhali nyie ndie mnaozalisha mazao kupita mikoa mingine hapa nchini? Au mazao yote mnauza bila kubakiza akiba ya chakula na hivyo kula vyakula duni kama mafyulisi na ulanzi? Acheni tabia hiyo mara moja.
Nyie mliaminiwa sana enzi za Mwalimu nyerere, kiasi cha kuwaweka idara nyeti! Hii ilitokana na uwezo wenu kiakili na maadili, tunataka muendelee kuwa hivyo. Hivi mnajuwa mtoto akidumaa mwili na akili inadumaa?
Watu wengine wenye tabia mbaya ni baadhi ya makabila kutoka mkoa wa Tanga. Hawa sasa wanachofanya sio tu kuwasababishia udumavu watoto wao, bali pia ni kituko katika jamii! Eti jitu zima na midevu yake, lionamtoa mtoto kwenye ziwa la mamake (mama mwenye mtoto) halafu linanyonya lenyewe maziwa ya mtoto! Hivi nyie hamna huruma kwa watoto wenu kweli?! Wewe si ulinyonya kwenye kipindi cha utoto wako?! Babako angekudhurumu maziwa ya mamako si ungekufa au ungedumaa?
Wewe ni mtu mzima, una meno, unaweza kula, mtoto anategemea maziwa tu ya mama yake. Sasa wewe unakula chakula (ugali, nyama, nk), ukimaliza unaenda kunyonya na maziwa ya mtoto, huyo mtoto atakuwa na afya kweli?! Waachieni watoto maziwa ya mama zao, wanyonye, wakue na kuimarika kiafya. Na bahati nzuri waziri wa afya anatoka huko, hivyo msimuangushe!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahio wakulima hawana vyakula wanalima vya kuwaongezea protein kwa wingiπππ€π€?.
Wachaga wa upande wa magharibi ( wamachame ) ni wakubwa kuliko hata watu wakanda ya ziwa , na kuliko hata wenzao wa mashariki hii sio kwa sababu ya lishe ,hili ni swala la vina saba tu.