Nakubusu
JF-Expert Member
- Nov 3, 2022
- 772
- 1,837
Habari zenu watu wa humu.
Moja kwa moja niende kwenye mada nisiwachoshe na salaam. Katika pitapita zangu na kuzunguka baadhi ya mikoa hapa Tanzania, nimegundua jamii za wafugaji Kama wamasai, wakurya, wasandawe, wasukuma nk.., wana asili ya urefu tena wana afya Sanaa tofauti na jamii za wakulima ni wafupi asilimia kubwa Kama waha, walugulu, wapogoro nk..
Swali langu ni je? Hizi jamii za wafugaji wanapata lishe nzuri tofauti na hawa wakulima? Au hii inatokana na nini wakati na wao wanalima wanapata mazao(mlo kamili).
Moja kwa moja niende kwenye mada nisiwachoshe na salaam. Katika pitapita zangu na kuzunguka baadhi ya mikoa hapa Tanzania, nimegundua jamii za wafugaji Kama wamasai, wakurya, wasandawe, wasukuma nk.., wana asili ya urefu tena wana afya Sanaa tofauti na jamii za wakulima ni wafupi asilimia kubwa Kama waha, walugulu, wapogoro nk..
Swali langu ni je? Hizi jamii za wafugaji wanapata lishe nzuri tofauti na hawa wakulima? Au hii inatokana na nini wakati na wao wanalima wanapata mazao(mlo kamili).