Leo ikiwa ni siku ambayo mchakato wa mabaraza ya kujadili Rasimu ya Katiba mpya unaendelea nchini, leo ni zamu ya Manispaa ya Bukoba ambapo kituo ni Rugambwa Sekondari.
Chakushangaza ni hali ya sehemu kubwa ya wajumbe waliochaguliwaa kama wajumbe wa Baraza kuonekana ni watu wenye uwezo mdogo wa kuisoma rasimu na kuichambua.
Pamoja na wajumbe wengi kuwa ni Madiwani wa CCM na wafurukutwa wengine wa CCM kikubwa zaidi kuwa ukiachana na hao Madiwani waliobaki ni vijana na mabinti wa mtaani ambao walichaguliwa kimizengwe na kuwaacha wasomi wengine wakiwemo hata walimu.
Ukizingatia kuwa zaidi ya walimu Watatu wa shule hii waligombea na kupitishwa katika mtaa na Kata lakini wakaondolewa kimizengwe Wilayani.
Hii inaonesha kuwa jambo hili lilipangwa ili kuweka watu watakao kuja kusoma waraka wa CCM kama mapendekezo yao katika katiba.
KWA HILI HAKUNA KATIBA MPYA BALI KATIBA YA CCM
Chakushangaza ni hali ya sehemu kubwa ya wajumbe waliochaguliwaa kama wajumbe wa Baraza kuonekana ni watu wenye uwezo mdogo wa kuisoma rasimu na kuichambua.
Pamoja na wajumbe wengi kuwa ni Madiwani wa CCM na wafurukutwa wengine wa CCM kikubwa zaidi kuwa ukiachana na hao Madiwani waliobaki ni vijana na mabinti wa mtaani ambao walichaguliwa kimizengwe na kuwaacha wasomi wengine wakiwemo hata walimu.
Ukizingatia kuwa zaidi ya walimu Watatu wa shule hii waligombea na kupitishwa katika mtaa na Kata lakini wakaondolewa kimizengwe Wilayani.
Hii inaonesha kuwa jambo hili lilipangwa ili kuweka watu watakao kuja kusoma waraka wa CCM kama mapendekezo yao katika katiba.
KWA HILI HAKUNA KATIBA MPYA BALI KATIBA YA CCM