Mijadala yote inayofanyika haitasaidia kitu. Hakuna chochote kitakachobadilishwa katika suala DP World na Bandari zetu

nuporo

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2018
Posts
1,534
Reaction score
3,387
Mijadala yote inayofanyika haitasaidia kitu. Hakuna chochote kitakachobadilishwa katika issue DP world na Bandari zetu.

Ukweli ni mchungu, huo ndio ukweli, hakuna lolote litakalobadilika. bunge limesharidhia, Mkuu wa Nchi ameshaweka sahihi yake, hivyo chochote kinachoendelea ni janja janja. Bandari zetu ndiyo hivyo zimeshaenda.
 
Watanzania tulishindwa kusimamia hivyo vitu muhimu sioni kama kunamakosa yoyote yalio fanyika kumpa mtu mwenye uledi na mtaji kusimamia.
 
Kinachofanyika wanavuta muda tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…