Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Arusha inakua kwa haraka sana sema bei ziko juu sanaArusha vp
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Arusha inakua kwa haraka sana sema bei ziko juu sanaArusha vp
Site kwangu huko Safi kabisa, well narrated.Kwa sasa Mkoa wa pwani Barabara ya Morogoro ni very potential
Serikali iko katika mpango wa kutanua Barabara iwe double road
Kuna ujenzi wa bandari kavu unaendelea kule vigwaza
Kuna maeneo yametengwa kwa ajili ya viwanda
Mradi wa train ya mwendokasi unapita umbali wa kama 20kilometer from morogoro road
Vyote hivi vinapafanya ukanda wa kuanzia kibaha to chalinze watu wahamie kwa kasi
Sent using Jamii Forums mobile app
Na kuna mtu ameitaja huko juu kuwa haikui!!?? ati imedumaa.
Mgodi upo umbali gani toka sengerema mjini.Sengerema wahini mapema kuna mgodi mpya wa dhahabu Nyanzaga (OreCorp) unaenda kuanza very soon. Kuna potential hapo.
Umesema vyema..Kwa sasa Mkoa wa pwani Barabara ya Morogoro ni very potential
Serikali iko katika mpango wa kutanua Barabara iwe double road
Kuna ujenzi wa bandari kavu unaendelea kule vigwaza
Kuna maeneo yametengwa kwa ajili ya viwanda
Mradi wa train ya mwendokasi unapita umbali wa kama 20kilometer from morogoro road
Vyote hivi vinapafanya ukanda wa kuanzia kibaha to chalinze watu wahamie kwa kasi
Sent using Jamii Forums mobile app
Si utafute Miji ambayo kuna Kasi kubwa ya uzazi? Na uhamiaji?Hbr wadau wa jf,
Naomba kujuzwa miji ambayo inakuwa kwa kasi ambapo unaeza kununua Mashamba nje kdgo ya mji ukaja kupima na kuuza km viwanja kwa faida kubwa.
Maana nilinunua viwanja singida mjini lakn after 6yrs nakuja kurud nakuta maendeleo kidogo sana inakuwa km kuzika hela tu.
Dodoma ipi hiyo unayoizungumzia wewe?Nani akikwambia singida huwa inakua? Ule mji na Dodoma Kama imedumaa hivi licha ya kupata promotion Kubwa.
Jitahidi Mwanza ukuaji wake ni kwa Arthmetic ratio na watu wengi wa Kanda ya ziwa wanategemea kuhamia hapo kutoka musoma, shinyanga, Geita e.t.c
Njombe hapanaGeita, katoro, masasi, mbinga, ifakara, kibaha, mafinga, tunduma, katoro, Runzewe, Njombe, kasulu, Igunga, Kahama, tunduma, mpanda, maji moto, Masumbwe, Nyakanazi, Ngara sababu ya migodi ya nikel, chunya ya makongorosi na mkwajuni,
Iringa ya wapi hiyo? Njombe uongoNenda Dar es Salaam, Iringa manispaa, Chimala, Igawilo, Chunya, Geita, Igunga, Njombe, Mbinga, Mwanza jiji n.k.
GamboshiHbr wadau wa jf,
Naomba kujuzwa miji ambayo inakuwa kwa kasi ambapo unaeza kununua Mashamba nje kdgo ya mji ukaja kupima na kuuza km viwanja kwa faida kubwa.
Maana nilinunua viwanja singida mjini lakn after 6yrs nakuja kurud nakuta maendeleo kidogo sana inakuwa km kuzika hela tu.
🤣🤣Ikwiriri watu mnapasahau..ila ni kamji kanakokuja juu sana.
#MaendeleoHayanaChama
Kwani Iringa manispaa haikui?Iringa ya wapi hiyo? Njombe uongo
Ishu kubwa inayo ikabili iringa isiende kasi Sana Ni jiografia ya eneo husika limetawaliwa na milima na mawe ko linaathiri Sana the some mafinga ule mji ulikuwa kasi Sana ila kasi imeanza kupungua ya kutanuka maeneo mengi yamehodhiwa na serikali mji unalazimika kutanukia upande mmoja saohill ,jesh ,magereza kisolansi farm zime chukua maeneo makubwasana the some na njombe msitu wa tanwat na mashamba ya chai miji ambayo itazidi kutanuka zaidi nyanda za juu kusini Ni makambako ,jiji la mbeya, tunduma ,sumbawanga na songea hii miji maeneo yake hayana vikwazo vingi kwote watu wanajengaKwani Iringa manispaa haikui?
Ipamba saizi inakaribia kuungana na nyumba za manispaa.
wakabila na wakanda wakuu wapo kaziniEt!? Tena makao makuu cjui Kuna nn