Miji ya Tanzania kunuka uchafu nini tatizo?

Miji ya Tanzania kunuka uchafu nini tatizo?

Unitman

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2021
Posts
511
Reaction score
671
Habari ndugu wadau. Hivi watanzania nini tatizo.? Miji yote ukitoa Arusha na Moshi ni michafu kupindukia, watu wanakojoa na kunya ovyo. Plastic zipo kila mahali mitaro imejaa inanuka vinyesi.Hii nchi ya namna gani?

Watumishi wa Serikali wapo wanakula mshahara hakuna kinachoeleweka nani anasimamia usafi wa mazingira na kutunga Sheria

Afisa afya wa kata, tarafa wilaya mkoa wanafanya nini?

WAZIRI wa Mazingira ana mishe gani au bajeti za halimashauri na tozo zinaenda wapi na hatuwezi kuchakata taka?

Ni aibu kubwa saaana tunaaibisha taifa hatuna tofauti na wanyama kama kuku na bata.
 
Kwenye suala la usafi unaanzaje kuitaja Arusha badala ya Iringa?

Masawe acha hizo
 
Habari ndugu wadau. Hivi watanzania nini tatizo.? Miji yote ukitoa Arusha na Moshi ni michafu kupindukia, watu wanakojoa na kunya ovyo. Plastic zipo kila mahali mitaro imejaa inanuka vinyesi.Hii nchi ya namna gani?

Watumishi wa Serikali wapo wanakula mshahara hakuna kinachoeleweka nani anasimamia usafi wa mazingira na kutunga Sheria

Afisa afya wa kata, tarafa wilaya mkoa wanafanya nini?

WAZIRI wa Mazingira ana mishe gani au bajeti za halimashauri na tozo zinaenda wapi na hatuwezi kuchakata taka?

Ni aibu kubwa saaana tunaaibisha taifa hatuna tofauti na wanyama kama kuku na bata.
Shekilango sokoni pananuka sijui wakaazi wa maeneo yale wanaishi vipi ?.
 
Back
Top Bottom