Miji yenye mikwanja mirefu duniani

Miji yenye mikwanja mirefu duniani

Ww mwenzetu umesha fika huko?
Ndiyo Mkuu. [emoji3][emoji3]

Kuilinganisha New York ama Los Angeles dhidi ya Moscow ni kuikosea heshima hiyo miji ya Marekani Mkuu.

Moscow ni mji mzuri, yes. Lakini haufikii hadhi ya New York, Los Angeles ama hata Beijing ya hapo China.
 
Lakini huko huko wanapotaiakaa wanatapakaa na mibaraka ndo maana hizo sehemu walipo mkwanja ni mrefu
Unamaanisha baraka zipi?? Hizi walizompka kichapo Yesu au baraka gani ?? Mlipotoshwa sana na Paulo
 
Unamaanisha baraka zipi?? Hizi walizompka kichapo Yesu au baraka gani ?? Mlipotoshwa sana na Paulo
Kama ziile mudy alizopewa kichapo na jibril pangoni jibril alipomuambia aandike Quran Mudy akamjibu ataandikaje Quran wakati hajui kusoma na kuandika? ndipo jibril akammaindi nakuanza kumshushia mudi mkong'oto wa nguvu.

Azarel mgen
 
Bila jiji la Dar es salaam kuwepo ni batili,fly over zote,ubungo,tazara,hata ile ya uhasibu,

Majengo marefu posta mpya na hili la blue huku mwenge

Standard gauge,mwendokasi zote bila kusahau ile mpya ya kwenda mbagala japo speed ya ujenzi hata konokono ana speed

Majengo mapya magomeni,hostel haaa jamani bado Dar haipo tu

Madaraja ya kisasa yaliyo dizainiwa na wasanifu/wakandarasi makini

Daraja la nyerere,salendar na mengine ambayo hayajaanza kutumika

Utitiri wa vituo vya afya,na hospital nyingi za rufaa kwa Dar tu

Lakini habari za masoko hapa si mahali pake msinirushie mawe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom