Continental Ground
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 1,907
- 3,895
Kama Kakonko haipo hapo ni uongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapana kwa viwango vya kirusi hauwezi ingia kwenye 10 boraUsisahau na wenu wa tahifa teure[emoji23]
Iweke namba 1 mkuuUnafiki tu na upro Amerika.
Moscow haiwezi kuwa ya mbali hivyo
Wanapunga majiniPia wazee wa kobazi aka wafuga majini siwaoni[emoji38]
😂😂Mbona mlimani city haipo
Ebu andika kiswahili humu wote siyo warundi.Mbona tahifa teure haturioni [emoji23]
Ndiyo Mkuu. [emoji3][emoji3]Ww mwenzetu umesha fika huko?
Kwani si ndivyo mnavyoliita auEbu andika kiswahili humu wote siyo warundi.
Wanaofanya New York iwe ya kwanza kwa mkwanja mrefu ni hao hao wayahudi ambao ambao ni million 6 New York.Mbona tahifa teure haturioni [emoji23]
Ungemalizia lakini hawana kwao, wetapakaa kama kumbikumbiWanaofanya New York iwe ya kwanza kwa mkwanja mrefu ni hao hao wayahudi ambao ambao ni million 6 New York.
Kuwa makini wasije wakakula wewe badala ya wewe kula bata.Ngoja nijipange ili nikale bata
Nalog off Z
Lakini huko huko wanapotaiakaa wanatapakaa na mibaraka ndo maana hizo sehemu walipo mkwanja ni mrefuUngemalizia lakini hawana kwao, wetapakaa kama kumbikumbi
Unamaanisha baraka zipi?? Hizi walizompka kichapo Yesu au baraka gani ?? Mlipotoshwa sana na PauloLakini huko huko wanapotaiakaa wanatapakaa na mibaraka ndo maana hizo sehemu walipo mkwanja ni mrefu
Kama ziile mudy alizopewa kichapo na jibril pangoni jibril alipomuambia aandike Quran Mudy akamjibu ataandikaje Quran wakati hajui kusoma na kuandika? ndipo jibril akammaindi nakuanza kumshushia mudi mkong'oto wa nguvu.Unamaanisha baraka zipi?? Hizi walizompka kichapo Yesu au baraka gani ?? Mlipotoshwa sana na Paulo