Miji Yenye Pisi Kali

Miji Yenye Pisi Kali

capitalpool

JF-Expert Member
Joined
Sep 18, 2017
Posts
22,363
Reaction score
121,260
Miji 10 yenye pisi kali:
1. Dar 2. Arusha
3. Dodoma
4. Bukoba
5. Tanga
6. Moshi
7. Babati
8. Singida
9. Mwanza
10. Mtwara

Dar: kimbilio la pisi grade A nchini, kuna kila aina ya pisi sound zako tu. Fahari ya macho Mwenge na kituo cha mwendokasi Shekilango.

Arusha: Wezere za Wameru na rangi ya mitume toka kwa watoto wa kimbulu na iraq? Hapa ndio kwao.

Dodoma: Uwepo wa vyuo vingi umenogesha mji, serikali kuhamia ndio kabisaa! Boom likichelewa utapapenda. Fisi hapa ndio HQ yao

Bukoba: Naam magwiji wanapaita kisimani chimbuko la pisi kali zote zinazosumbua mjini daslama, mwisho wa mwaka Kitulo huamia hapa, MAUA.

Tanga: Huwa zinafichwa kwenye mabaibui, ukibahatika kuiona kwenye jeans utakata shingo. Lafudhi na uchotara hakikisha nauli ipo M-Pesa.

Moshi: Ushawahi kutamani mwaka ungekua na December zaidi ya 3? Basi karibu Moshi December hii.

Babati: Kabla hawajapata 'transfer' ya Arusha huanzia hapa, kuna baadhi ya Twiga toka Kondoa hapa ndio kwao. Kanzu na kofia ndio kigezo chao

Singida: Damu ya kiarabu ikimix na bantu hutoa kitu 😎 Panaitwa Doha ya bongo pisi zote zinawaka. Beyonce na Kim K chimbuko lao ni hapa.

Mwanza: Hakuna cha zaidi ya wasiopenda 'ugonjwa wa Taifa'. Panaitwa Rocky City kwasababu, nusu ya ile milima pisi wameibeba nyuma.

Mtwara: Yes, kama Mwanza upande wa milima. Kuna msemo wa Wahenga "uzuri wa Msichana sio sura bali ni ndani ya kuta nne". Walimaanisha


C&P
 
Namba moko ni Ar haujakutana na modern maasai wewe afu namba 2 ni dsm japo wengi sio wazawa wa dsm
Coz wamehamia so nawatoa apo maana wazaramo ni maneno mengi ila uzuri 0

Afu kuna wale mademu mchanganyiko wa rwanda na Tz wanapatikana uko singidan, bukoba na dodoma asee ni hatari
 
Namba moko ni Ar haujakutana na modern maasai wewe afu namba 2 ni dsm japo wengi sio wazawa wa dsm
Coz wamehamia so nawatoa apo maana wazaramo ni maneno mengi ila uzuri 0

Afu kuna wale mademu mchanganyiko wa rwanda na Tz wanapatikana uko singidan, bukoba na dodoma asee ni hatari

Oya wewe acha ujinga basi mbona hivyo aisee...?
 
Back
Top Bottom