Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Jitu la Kike au Kiume??
soma nyota yako na yake mkuu
Ahahahaaah!!! Hii ina ukweli aisee.Mijitu mingine ni kama wingu jeusi, ikiondoka tu siku yako hung'aa.
Je umewahi kukutana na miwatu ya aina hii?
Ukiwa nalo magundu yanakuandama, mara marafiki wanakutenga, dili zinagonga mwamba, maisha yanakuwa magumu. Ukiachana nae , mashallah, kila kitu kinakunyookea
Mijitu mingine ni kama wingu jeusi, ikiondoka tu siku yako hung'aa.
Je umewahi kukutana na miwatu ya aina hii?
Ukiwa nalo magundu yanakuandama, mara marafiki wanakutenga, dili zinagonga mwamba, maisha yanakuwa magumu. Ukiachana nae , mashallah, kila kitu kinakunyookea
Naona yamekukuta mzee.
wengine mna gundu wenyewe mnasingizia wenza wenu, kama wewe ulifanya uzembe kazin unategemea wakuchekee tu iyo kazi ni baba yako au?unaweza shangaa ukiwa nae hata kazi unafukuzwa!
hahaaaaaaaaaaaaaaaaa hii kali sasaunaweza shangaa ukiwa nae hata kazi unafukuzwa!
Kuna wanao dai,huyu demu ana bahati kweli ukiwa naye mambo yote yananyooka.Hizo ni imani, hazina uthibitisho wa aina yoyote.