Mijitu Mingine!!!!!!!!!!!

Tatizo watu hawasali hata kabla ya kulala!
Ukimwomba mungu wakati wa kupunzika hizo nuksi hazitakuandama, na asubuhi ukiamka kitandani mshukuru mungu. nakuambia mungu anakuepusha na nuksi zote, unaweza ukajikuta unataka kuwa na mtu fulani siku labda ya leo, unashangaa dhamira yako inakataa mwishowe una give up!
 


hahah tatizo la kuwa na mijitu bila kwenda kwa shehe yahaya! ukimshirikisha yahaya hayo magundu hayatokei. nenda kwa yahaya jr. kasafishe nyota kaka
 
yaani buji bora umesema wewe. Ila watu malaya wasioweza kutulia na mtu mmoja, hao ndo wana mabaläa zaidi. Nawakilisha
 
Kuna wanao dai,huyu demu ana bahati kweli ukiwa naye mambo yote yananyooka.

siwezi kukulaumu kwakuwa akili zako ndivyo zilivyokutuma. Asante sana.
 
umenikumbusha mbali kaka!!! nibalaa tupu
 


Mkuu umekumbana na jini nini?
 

Acha kuwaita viumbe wa Mungu mijitu; waheshimu binadamu wote ; unaowapenda na usiowapenda
 

Mawazo ya mwafrika asilia haya. Kila linapotokea tatizo lazima kuna mtu wa kumtupia lawama. Hujalisha mtoto anapata utapia mlo unasingizia wachawi. Viongozi wanasaini mikataba mibovu tunauziwa umeme hewa tunamsingizia RA.
 

Naona fungate imeisha
Hata karibu mkuu ndo maana unapata magundu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…