Mika Mwamba kali kweli alikuwa mkali

Mika Mwamba kali kweli alikuwa mkali

Mabinti wa kitanga ya Bwana misosi, hyo beat wa kuweza kumatch kuiunda ni P-Funk majani pekee, kuna vitu Tanzania inalost
 
Kuna nyimbo moja ya dogo mmoja nadhan anaitwa Ibra acha huyu wa konde gang , nahisi yuko ukaya huko inaitwa girl,
Acha waseme tu we ndio wangu girlfriendx2
Endapo kuna kitu nimekukosea acha waseme acha waseme tu
 
Kuna nyimbo moja ya dogo mmoja nadhan anaitwa Ibra acha huyu wa konde gang , nahisi yuko ukaya huko inaitwa girl,
Acha waseme tu we ndio wangu girlfriendx2
Endapo kuna kitu nimekukosea acha waseme acha waseme tu
Hii ngoma katengeneza Miika!?
Sio kwamba imedundwa na producer Roy kutoka G records?
 
Back
Top Bottom