Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
MBOWE alikukosea nini?Mbowe kuondolewa madarakani kwa nguvu.
Matumizi ya pesa za umma kuwekwa wazi. Na pesa kutumiwa kwa nia thabiti ya kuig'oa CCM madarakani.
Chawa Mbowe akina T. Mwaipwaya na yule dogo wa Mwanza wag'olewe. Wapo kujaza matumbo tu.
Lissu awe katibu mkuu.
Usiyemtaka kajaa tele. Tuliza mzuka we UVCCM.Mbowe kuondolewa madarakani kwa nguvu.
Matumizi ya pesa za umma kuwekwa wazi. Na pesa kutumiwa kwa nia thabiti ya kuig'oa CCM madarakani.
Chawa Mbowe akina T. Mwaipwaya na yule dogo wa Mwanza Pambalu wag'olewe. Wapo kujaza matumbo tu.
Lissu awe katibu mkuu.
Upumbavu mwingine huu,Mh.Mbowe why kila wakati anakunyima raha?,kila siku mada za Mh.Mbowe why ?,na unawataja watu kwa majina humu wakati huna ushahidi wowote, na wewe umejificha kwenye Id fake, kunguru mkubwa wewe, pigana mwenyewe usitegemee wengine wakupiganieMbowe kuondolewa madarakani kwa nguvu.
Matumizi ya pesa za umma kuwekwa wazi. Na pesa kutumiwa kwa nia thabiti ya kuig'oa CCM madarakani.
Chawa Mbowe akina T. Mwaipwaya na yule dogo wa Mwanza Pambalu wag'olewe. Wapo kujaza matumbo tu.
Lissu awe katibu mkuu.
Mbowe kuondolewa madarakani kwa nguvu.
Matumizi ya pesa za umma kuwekwa wazi. Na pesa kutumiwa kwa nia thabiti ya kuig'oa CCM madarakani.
Chawa Mbowe akina T. Mwaipwaya na yule dogo wa Mwanza Pambalu wag'olewe. Wapo kujaza matumbo tu.
Lissu awe katibu mkuu.
Acha ujinga bana. Hii mada ni ya Mbowe?Upumbavu mwingine huu,Mh.Mbowe why kila wakati anakunyima raha?,kila siku mada za Mh.Mbowe why ?,na unawataja watu kwa majina humu wakati huna ushahidi wowote, na wewe umejificha kwenye Id fake, kunguru mkubwa wewe, pigana mwenyewe usitegemee wengine wakupiganie
Unateseka Sana!
Mpaka CHADEMA ibadilikeBadilisheni scripts sasa...
Hizi zimeshazoeleka...
Single mother!
Wewe ndio una upumbavu, ujinga ninaweza kuelimika,wAcha ujinga bana. Hii mada ni ya Mbowe?
Badilisha ccm yako kwanza, 60 yrs ya kutawala bado Singida kuna umasikini wa ajabu, na hili limeongelewa na mpangaji mkuu wa pale magogoni!,na kwenye center of power (Lumumba street)wapo kimyaa pamoja na weweMpaka CHADEMA ibadilike
Dogo wa Mwanza homeboy umenikumbusha kitambo aisee ila dogo wa Mwanza ni mzalendo sanaa na mtu wa dini sana mkatoliki...Mbowe kuondolewa madarakani kwa nguvu.
Matumizi ya pesa za umma kuwekwa wazi. Na pesa kutumiwa kwa nia thabiti ya kuig'oa CCM madarakani.
Chawa Mbowe akina T. Mwaipwaya na yule dogo wa Mwanza Pambalu wag'olewe. Wapo kujaza matumbo tu.
Lissu awe katibu mkuu.
Kamanda Aliyechoka vipi tena? Mbona unaonyesha kama mtu wa [emoji304] ambaye amekosa soko hivyo kachanganyikiwa anarukia rukia watu?Acha ujinga bana. Hii mada ni ya Mbowe?
KMng'oe kinana kwanza. Huyo lisu mliyempiga risasi mkataka kuumua leo amekuwa mwema kwako? Pesa za umma kaanzie kuhoji lumumba wanapokula pesa za nchi.kenge maji weweMbowe kuondolewa madarakani kwa nguvu.
Matumizi ya pesa za umma kuwekwa wazi. Na pesa kutumiwa kwa nia thabiti ya kuig'oa CCM madarakani.
Chawa Mbowe akina T. Mwaipwaya na yule dogo wa Mwanza Pambalu wag'olewe. Wapo kujaza matumbo tu.
Lissu awe katibu mkuu.
Umeendaka pumba, mburukenge wewe.KMng'oe kinana kwanza. Huyo lisu mliyempiga risasi mkataka kuumua leo amekuwa mwema kwako? Pesa za umma kaanzie kuhoji lumumba wanapokula pesa za nchi.kenge maji wewe