Thibisha kauli yako broo Ili uwe kafiri wa kwanza kuithibitishia Dunia kuwa Quran Ina maneno ya kutunga au uongo
Maana Qurani yenyewe inasema ndani yake hakuna maneno ya kutunga Wala ya uongo
Quran 2:2-
Hiki ni Kitabu kisichokuwa na shaka ndani yake; ni uwongofu kwa wachamungu,
Biblia siyo kwa ajili ya watu wote. Ni kwa ajili ya "wale wanaoamini". Kama huamini unajisumbua bure kuisoma maana hutaamini inachokisema. Kama ingeandikwa kwa ajili ya wote, basi wote wangeamini. Hata Qur'an imeandikwa kwa wale wanaoiamini. Mfano, mimi ni Mkatoliki na Qur'an haikuandikwa kwa ajili yangu. Upo hapo? Isipokuwa Biblia imeandikwa kwa ajili yangu kwa sababu naamini inachokisema. Kama huamini achana nayo maana hutaelewa, unapoteza muda bure. Hata lugha mbalimbali duniani zipo kwa ajili ya wale wanaozitumia au wanataka kuzitumia. Lakini kama huhitaji kujua au kutumia lugha fulani unapoteza muda kujifunza hiyo lugha maana huna mpango na utaratibu wa kuitumia. Elewa hivyo. So, if you don't need something you are wasting time to have it because it won't benefit you. Only those things which you need or intend to use will benefit you. Kama huhitaji mke na huna mpango wa kuwa naye, hata kama utamuoa unapoteza muda wako maana hatakufaa na hata yeye hutamfaa kwa chochote na kwa lolote. Upo hapo?Mkuu kwa mujibu wa Bibilia “maneno matakatifu ya Mungu” Bibilia ni kwaajili ya watu wote duniani
Sasa unaposema Bibilia ni kwaajili ya walengwa fulani unamaanisha nini?
Kumbe kuna wengine Bibilia haiwahusu na wanaketa kiherehere kuhoji?
MUNGU PEKEE.
Biblia siyo kwa ajili ya watu wote. Ni kwa ajili ya "wale wanaoamini". Kama huamini unajisumbua bure kuisoma maana hutaamini inachokisema. Kama ingeandikwa kwa ajili ya wote, basi wote wangeamini. Hata Qur'an imeandikwa kwa wale wanaoiamini. Mfano, mimi ni Mkatoliki na Qur'an haikuandikwa kwa ajili yangu. Upo hapo? Isipokuwa Biblia imeandikwa kwa ajili yangu kwa sababu naamini inachokisema. Kama huamini achana nayo maana hutaelewa, unapoteza muda bure. Hata lugha mbalimbali duniani zipo kwa ajili ya wale wanaozitumia au wanataka kuzitumia. Lakini kama huhitaji kujua au kutumia lugha fulani unapoteza muda kujifunza hiyo lugha maana huna mpango na utaratibu wa kuitumia. Elewa hivyo. So, if you don't need something you are wasting time to have it because it won't benefit you. Only those things which you need or intend to use will benefit you. Kama huhitaji mke na huna mpango wa kuwa naye, hata kama utamuoa unapoteza muda wako maana hatakufaa na hata yeye hutamfaa kwa chochote na kwa lolote. Upo hapo?
Wakuu habari zenu?binafsi nimekuwa nikifuatilia mijadala mingi sana kuhusu mikanganyiko(contradiction) katika vitabu vya dini.
Nimekuwa nikifatilia nyuzi nyingi za kiranga kuhusu kupinga uwepo wa mungu, tukitoa mihemko tukajenga hoja kwa mantiki (logical) character ya mungu mwenye nguvu zote, mwenye upendo wote na ajuaye yote hayupo na haiwezi kufit kwenye mizani ya mantiki.
Nimekuwa nikisoma Biblia na imekuwa ikijikanganya yenyewe na bado ikidai kwamba mungu huwa hakosei. Leo nitaonyesha baadhi ya mikanganyiko hiyo ambayo hata kiranga amekuwa akiiweka.hizi ni baadhi ya verse zenye mikanganyo👇
Mwanzo 1:3-5 BHN
Mungu akasema, “Mwanga uwe.” Mwanga ukawa. Mungu akauona mwanga kuwa ni mwema. Kisha Mungu akautenganisha mwanga na giza, mwanga akauita “Mchana” na giza akaliita “Usiku.” Ikawa jioni, ikawa asubuhi; siku ya kwanza.
Mwanzo 1:14 BHN
Mungu akasema, “Mianga na iweko angani, itenge mchana na usiku, ioneshe nyakati, majira, siku na miaka
Mwanzo 1:11-13 BHN
Kisha Mungu akasema, “Nchi na ioteshe mimea. Mimea izaayo mbegu, na miti izaayo matunda yenye mbegu.” Ikawa hivyo. Basi, nchi ikaotesha mimea izaayo mbegu kwa jinsi yake, na miti izaayo matunda yenye mbegu kwa jinsi yake. Mungu akaona kuwa ni vyema. Ikawa jioni, ikawa asubuhi; siku ya tatu.
Mwanzo 2:4-9 BHN
Hivyo ndivyo mbingu na dunia zilivyoumbwa. Siku ile Mwenyezi-Mungu alipoziumba mbingu na dunia, Hapakuwa na mimea juu ya nchi wala miti haikuwa imechipua kwani Mwenyezi-Mungu hakuwa ameinyeshea nchi mvua, wala hapakuwa na mtu wa kuilima. Hata hivyo, maji yalitoka ardhini yakainywesha ardhi yote. Basi, Mwenyezi-Mungu akamfanya mwanamume kwa mavumbi ya udongo, akampulizia puani pumzi ya uhai, na huyo mwanamume akawa kiumbe hai. Kisha Mwenyezi-Mungu akapanda bustani huko Edeni,
Mwanzo 1:26-27 BHN
Kisha Mungu akasema, “Tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; atawale samaki wa baharini, ndege wa angani, wanyama wa kufugwa, dunia yote na viumbe vyote vitambaavyo.” Basi, Mungu akaumba mtu kwa mfano wake; naam, kwa mfano wake Mungu alimuumba. Aliwaumba mwanamume na mwanamke. Hapa mungu aliumba mwanamume na mwamke.
Mwanzo 2:7 BHN
Basi, Mwenyezi-Mungu akamfanya mwanamume kwa mavumbi ya udongo, akampulizia puani pumzi ya uhai, na huyo mwanamume akawa kiumbe hai.
(Mbele kidogo mungu anaumba mwanaume)utaona jinsi gani anavyosahau kurekodi matukio katika mtiririko ulio sahihi.
Mwanzo 2:7 BHN
Basi, Mwenyezi-Mungu akamfanya mwanamume kwa mavumbi ya udongo, akampulizia puani pumzi ya uhai, na huyo mwanamume akawa kiumbe hai.
Mwanzo 6:6 BHN
Mwenyezi-Mungu alisikitika sana kwa kumuumba binadamu duniani. Mwenyezi-Mungu alihuzunika sana moyoni mwake
Hesabu 23:19 BHN
Mungu si mtu, aseme uongo, wala si binadamu, abadili nia yake! Je, ataahidi kitu na asikifanye, au kusema kitu asikitimize?
Kutoka 12:13 BHN
Basi, ile damu itakuwa ishara yenu ya kuonesha nyumba mtakamokuwa. Nami nitakapoiona hiyo damu, nitawapita nyinyi, na hamtapatwa na dhara lolote wakati nitakapoipiga nchi ya Misri.
Mithali 15:3 SRUV
Macho ya BWANA yako kila mahali; Yakimchunguza mbaya na mwema.
( kwenye kutoka mungu wa kiyahudi anatoa maagizo wapake damu kwenye vizingiti vya milango ili asije kujichanganya, lakini mungu huyo huyo anajinasibu katika mithali macho yake yapo kila mahali)
Kutoka 20:14 BHN
“Usizini.
HOSEA 1:2
2 Hapo kwanza Bwana aliponena kwa kinywa cha Hosea, Bwana alimwambia Hosea, Enenda ukatwae mke wa uzinzi, na watoto wa uzinzi; kwa maana nchi hii inafanya uzinzi mwingi, kwa kumwacha Bwana.
Karibuni tujadili bila kashfa tujadiliane, hizi ni baadhi ya mikanganyiko iliyopo katika biblia.
Kwanini mungu mkamilifu kitabu chake kiwe na mikanganyiko kiasi hiki?
Mungu anasifa zote za binadamu anasahau, anabadili mawazo yake, ana hasira, Ana wivu, katili, na tabia zingine nyingi za kibinadamu.
inawezekana vipi mtu aliyeunda kitu akashindwa kujua knafanya vipi kazi?Hilo ndo jibu.au unataka mpaka aeleze alivyoijenga jenga dunia?hyo ni siri yake.kikubwa ni kujua mwenye dunia yupo nae ndiye mungu muumba watu na vitu vingine.
Hyo big bang haijatokea tu kwa bahati mbaya.jua yupo aliyeifanya itokee.inawezekana vipi mtu aliyeunda kitu akashindwa kujua knafanya vipi kazi?
mungu huyo kwenye vitabu vyake vimeandikwa jua likasimama!
Kwa mantiki hiyo hiyo kwanini bing bang isiswe ni chanzo lakini unakubaliana kwamba mungu kaumba na ni siri yake?
Kuna utofauti gani na zile serer mythology kutokea senegal na 🇬🇲 gambia?
Mungu si Binadamu.wala hafanani na binadamu,wala malaika.yupoje anajua yeye.uwezo wetu wa kujua umeishia hapaWhich one?..... man created so many of them
Ili tumdadafue
Mungu Ana sifa zote za binadamu unabisha kuhusu hilo? Anakosea, anaua wasio na hatia, ana wivu, ana hasira, ana upendeleo, Hana tofauti kabisa na binadamu.Mungu si Binadamu.wala hafanani na binadamu,wala malaika.yupoje anajua yeye.uwezo wetu wa kujua umeishia hapa
Sasa naingia kwenye AYA ZA QURAN.inawezekana vipi mtu aliyeunda kitu akashindwa kujua knafanya vipi kazi?
mungu huyo kwenye vitabu vyake vimeandikwa jua likasimama!
Kwa mantiki hiyo hiyo kwanini bing bang isiswe ni chanzo lakini unakubaliana kwamba mungu kaumba na ni siri yake?
Kuna utofauti gani na zile serer mythology kutokea senegal na 🇬🇲 gambia?
Achana na mambo jua.Hyo big bang haijatokea tu kwa bahati mbaya.jua yupo aliyeifanya itokee.
Binadamu anaishi duniani,mungu hashi duniani,binadamu anaonekana mungu haonekani.utasemaje wako sawa?Mungu Ana sifa zote za binadamu unabisha kuhusu hilo? Anakosea, anaua wasio na hatia, ana wivu, ana hasira, ana upendeleo, Hana tofauti kabisa na binadamu.
Hii ni nje ya mada,Sasa naingia kwenye AYA ZA QURAN.
Soma hizo aya.Achana na mambo jua.
Bing bang haijawahi kusema jua yupo aliyefanya itokee.
Hapo itakua ni kulazimisha mambo tu
Na bado hakuna ulichokijibu.
Mimi ni muislam.tuingie kwenye quran.Hii ni nje ya mada,
Lakini bado unaleta maneno matupu bila uthibitisho.
Sababu tu ulikaririshwa hivyo
Kwanini unakubali kitabu cha stori za waarabu tena jamii ambayo sio yako ndiye upachike kwamba huyo mungu aliumba mbingu?
Yaani ni hivi,
Bing bang inaelezea dunia ilivyouwa formed na mungu huyu tuliyemtunga anaelezea aliumba mbingu akisema palikiwa na neno.
Kuna utofauti gani na hizo stori ulizozileta hapo
Sasa lete na wewe maandiko KUWA MUNGU HAJAUMBA DUNIAHii ni nje ya mada,
Lakini bado unaleta maneno matupu bila uthibitisho.
Sababu tu ulikaririshwa hivyo
Kwanini unakubali kitabu cha stori za waarabu tena jamii ambayo sio yako ndiye upachike kwamba huyo mungu aliumba mbingu?
Yaani ni hivi,
Bing bang inaelezea dunia ilivyouwa formed na mungu huyu tuliyemtunga anaelezea aliumba mbingu akisema palikiwa na neno.
Kuna utofauti gani na hizo stori ulizozileta hapo
Mungu haonekani sababu yupo kwenye imagination yako tu huwezi kumthibitisha kwa namna yoyote ile mbali na vitabu ulivyovisoma vya hadithi.Binadamu anaishi duniani,mungu hashi duniani,binadamu anaonekana mungu haonekani.utasemaje wako sawa?
Una amini UPEPO UPO?Mungu haonekani sababu yupo kwenye imagination yako tu huwezi kumthibitisha kwa namna yoyote ile mbali na vitabu ulivyovisoma vya hadithi.
In the first place man created god.
Ndio maana nikasema mungu ana sifa zote za binadamu.
Kama mungu haonekani wewe unayesema yupo umemuona vipi?
Mungu alishaonekana unabisha nikuletee vifungu vya biblia?
Out of topic,Soma hizo aya.
Mimi ni muislam.tuingie kwenye quran.
Mkuu mjinga,Una amini UPEPO UPO?