Mikanganyiko katika Biblia ni kigezo kinachowapa watu uhalali wa kusema hakuna Mungu

Mikanganyiko katika Biblia ni kigezo kinachowapa watu uhalali wa kusema hakuna Mungu

Mtiririko wa uumbaji upo sahihi kama jinsi mwanzo 1 inavyoelezea Mkuu. Kuhusu adam na hawa. Adam ndio aliumbwa kwanza
Sijasema mtiririko hauko sahihi nimesema unipe mtitiriko huo!
Sawa na kuhusu Adam na Hawa nitakujibu nikifika home sasa hivi foleni hapa
 
Mtiririko wa uumbaji upo sahihi kama jinsi mwanzo 1 inavyoelezea Mkuu. Kuhusu adam na hawa. Adam ndio aliumbwa kwanza.

The issue ni kuwa kwenye mwanzo 1 Mungu aliumba roho[1:26 ....kwa mfano na kwa sura yetu] kwenye mwanzo sura ya pili mungu akaumba mwili [kutoka katika Mavumbi] akaipulizia puani pumzi ya uhai.
Umejibu vyema!
Japo Si sahihi kulingana na Biblia..

Mwanzo 1:1-2:3 Hii ni Uumbaji mtiririko wa Kwanza..
  • SIKU 1...Mbingu ,Nchi na Nuru/Giza
  • Siku 2...Mbingu na kutenga maji
  • Siku 3...Nchi ,Bahari na Mimea (plants)
  • Siku 4...Jua ,Mwezi Nyota
  • Siku 5...Wanyama wote
  • Siku 6...Mtu
Mwanzo 2:4-25 Huu ni uumbaji mtiririko wa Pili
  • Mtu
  • Mimea ya kondeni kwenye bustani
  • Wanyama
  • Na hawa (Mwanamke akaumbwa)..

Swali la Adamu na eve umelikwepa waliumbwa Pamoja au waliumbwa kila mmoja kwa wakati wake?..
Then mtiriko huo wa uumbaji kwako unasuggest nini?
 
Kitu usichojua biblia iliandikwa na watu kwa maslai yao wakaondoa baadh ya vifungu kwa mfano mwanamke wa kwanza alieumbwa na adam waliachana akaumbwa mwingine ambae ni eva kasome hidden fact on bible

Sent from my SM-M135FU using JamiiForums mobile app
 
Mungu ana elimu na mambo yote yanayotokea ulimwenguni, Kila kitu kinachotokea kilishapangwa kiwe kabla ya kuumbwa kwa hii dunia .

Mungu ameumba mwanadamu kisha akambainishia njia zote, njema na ovu kisha akampa uhuru achague wapi anaelekea.

Mkuu hapa mbona unajichanganya na kukiri mkanganyiko...kama Mungu alishapanga kila kitu na anajua hatima ya kila kitu iweje tena atoe uhuru wa mtu kuchagua wapi anapotaka kuelekea?
 
Back
Top Bottom