mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
stories za biblia siwezi kuzitolea ufafanuzi.hata hivyo ukilala na mke wa ndugu yako mtoto anakuwaje wa ndugu yako wakati ameshakufa?Soma hapo mstari wa kumi, Mungu aka muua Onani.
Mungu ameongoza kuua Maelfu ya watu kwenye biblia...
God of the Bible is a Murderer.View attachment 2834418
Binadamu SIO MALAIKA.binadamu amepewa utashi wa kuchagua nini afanye,Mungu anajua NIA ZETU za ndani ya mioyo yetu ANAJUAKwani kuna mtu anakufa bila Mungu/Allah kutaka????,
Yaani nauliza kuwa kuna mambo ambayo yanaweza yakatokea bila Mungu/Allah kujua, yaani na yeye anashtuka Jambo limefanyika bila yeye kutarajia????
Kwa hiyo unataka kuniambia hoja ya kuwa Mungu/Allah kapanga haipo maana Hana uwezo huo????Umeshasema WANAFARIJIANA.au una AYA NA ANDIKO?
Anavyosema, tumefanya au sisi.. anamaanisha nini Allah? Yeye na nani?Quran imejibu kila hoja zenu
ALLAH anawauliza tena wale wasioamini.
Fussilat 41:44
وَلَوْ جَعَلْنَٰهُ قُرْءَانًا أَعْجَمِيًّا لَّقَالُوا۟ لَوْلَا فُصِّلَتْ ءَايَٰتُهُۥٓۖ ءَا۬عْجَمِىٌّ وَعَرَبِىٌّۗ قُلْ هُوَ لِلَّذِينَ ءَامَنُوا۟ هُدًى وَشِفَآءٌۖ وَٱلَّذِينَ لَا يُؤْمِنُونَ فِىٓ ءَاذَانِهِمْ وَقْرٌ وَهُوَ عَلَيْهِمْ عَمًىۚ أُو۟لَٰٓئِكَ يُنَادَوْنَ مِن مَّكَانٍۭ بَعِيدٍ
English
And if We had made it a foreign [i.e., non-Arabic] Qur’ān, they would have said, "Why are its verses not explained in detail [in our language]? Is it a foreign [recitation] and an Arab [messenger]?" Say, "It is, for those who believe, a guidance and cure." And those who do not believe - in their ears is deafness, and it is upon them blindness. Those are being called from a distant place.[1]
Swahili -
Na lau tungeli ifanya Qur'ani kwa lugha ya kigeni wangeli sema: Kwanini Aya zake haziku pambanuliwa? Yawaje lugha ya kigeni na Mtume Mwaarabu? Sema: Hii Qur'ani ni uwongofu na poza kwa wenye kuamini. Na wasio amini umo uziwi katika masikio yao, nayo kwao imezibwa hawaioni. Hao wanaitwa nao wako pahala mbali.
Hii kauli inatakiwa kutolewa baada ya kutatua hiyo mikanganyiko yote, kimantiki, bila kukosa kutatua hata mkanganyiko mmoja.Hapa hakuna
Hapa hakuna mkanganyiko wowote ni swala la uelewa wa biblia na context yake.
Kisicho kuwepo Hakihitaji uthibitisho wa kutokuwepo kwake Kwa vile hakipo kwa namna yoyote ile ya kuthibitishika.Thibitisha kama hayupo[emoji4]
Alafu kwenye Uumbaji hapo kaa chini Usome vizur UsikurupukeWakuu habari zenu?binafsi nimekuwa nikifuatilia mijadala mingi sana kuhusu mikanganyiko(contradiction) katika vitabu vya dini.
Nimekuwa nikifatilia nyuzi nyingi za kiranga kuhusu kupinga uwepo wa mungu, tukitoa mihemko tukajenga hoja kwa mantiki (logical) character ya mungu mwenye nguvu zote, mwenye upendo wote na ajuaye yote hayupo na haiwezi kufit kwenye mizani ya mantiki.
Nimekuwa nikisoma Biblia na imekuwa ikijikanganya yenyewe na bado ikidai kwamba mungu huwa hakosei. Leo nitaonyesha baadhi ya mikanganyiko hiyo ambayo hata kiranga amekuwa akiiweka.hizi ni baadhi ya verse zenye mikanganyo[emoji116]
Mwanzo 1:3-5 BHN
Mungu akasema, “Mwanga uwe.” Mwanga ukawa. Mungu akauona mwanga kuwa ni mwema. Kisha Mungu akautenganisha mwanga na giza, mwanga akauita “Mchana” na giza akaliita “Usiku.” Ikawa jioni, ikawa asubuhi; siku ya kwanza.
Mwanzo 1:14 BHN
Mungu akasema, “Mianga na iweko angani, itenge mchana na usiku, ioneshe nyakati, majira, siku na miaka
Mwanzo 1:11-13 BHN
Kisha Mungu akasema, “Nchi na ioteshe mimea. Mimea izaayo mbegu, na miti izaayo matunda yenye mbegu.” Ikawa hivyo. Basi, nchi ikaotesha mimea izaayo mbegu kwa jinsi yake, na miti izaayo matunda yenye mbegu kwa jinsi yake. Mungu akaona kuwa ni vyema. Ikawa jioni, ikawa asubuhi; siku ya tatu.
Mwanzo 2:4-9 BHN
Hivyo ndivyo mbingu na dunia zilivyoumbwa. Siku ile Mwenyezi-Mungu alipoziumba mbingu na dunia, Hapakuwa na mimea juu ya nchi wala miti haikuwa imechipua kwani Mwenyezi-Mungu hakuwa ameinyeshea nchi mvua, wala hapakuwa na mtu wa kuilima. Hata hivyo, maji yalitoka ardhini yakainywesha ardhi yote. Basi, Mwenyezi-Mungu akamfanya mwanamume kwa mavumbi ya udongo, akampulizia puani pumzi ya uhai, na huyo mwanamume akawa kiumbe hai. Kisha Mwenyezi-Mungu akapanda bustani huko Edeni,
Mwanzo 1:26-27 BHN
Kisha Mungu akasema, “Tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; atawale samaki wa baharini, ndege wa angani, wanyama wa kufugwa, dunia yote na viumbe vyote vitambaavyo.” Basi, Mungu akaumba mtu kwa mfano wake; naam, kwa mfano wake Mungu alimuumba. Aliwaumba mwanamume na mwanamke. Hapa mungu aliumba mwanamume na mwamke.
Mwanzo 2:7 BHN
Basi, Mwenyezi-Mungu akamfanya mwanamume kwa mavumbi ya udongo, akampulizia puani pumzi ya uhai, na huyo mwanamume akawa kiumbe hai.
(Mbele kidogo mungu anaumba mwanaume)utaona jinsi gani anavyosahau kurekodi matukio katika mtiririko ulio sahihi.
Mwanzo 2:7 BHN
Basi, Mwenyezi-Mungu akamfanya mwanamume kwa mavumbi ya udongo, akampulizia puani pumzi ya uhai, na huyo mwanamume akawa kiumbe hai.
Mwanzo 6:6 BHN
Mwenyezi-Mungu alisikitika sana kwa kumuumba binadamu duniani. Mwenyezi-Mungu alihuzunika sana moyoni mwake
Hesabu 23:19 BHN
Mungu si mtu, aseme uongo, wala si binadamu, abadili nia yake! Je, ataahidi kitu na asikifanye, au kusema kitu asikitimize?
Kutoka 12:13 BHN
Basi, ile damu itakuwa ishara yenu ya kuonesha nyumba mtakamokuwa. Nami nitakapoiona hiyo damu, nitawapita nyinyi, na hamtapatwa na dhara lolote wakati nitakapoipiga nchi ya Misri.
Mithali 15:3 SRUV
Macho ya BWANA yako kila mahali; Yakimchunguza mbaya na mwema.
( kwenye kutoka mungu wa kiyahudi anatoa maagizo wapake damu kwenye vizingiti vya milango ili asije kujichanganya, lakini mungu huyo huyo anajinasibu katika mithali macho yake yapo kila mahali)
Kutoka 20:14 BHN
“Usizini.
HOSEA 1:2
2 Hapo kwanza Bwana aliponena kwa kinywa cha Hosea, Bwana alimwambia Hosea, Enenda ukatwae mke wa uzinzi, na watoto wa uzinzi; kwa maana nchi hii inafanya uzinzi mwingi, kwa kumwacha Bwana.
Karibuni tujadili bila kashfa tujadiliane, hizi ni baadhi ya mikanganyiko iliyopo katika biblia.
Kwanini mungu mkamilifu kitabu chake kiwe na mikanganyiko kiasi hiki?
Mungu anasifa zote za binadamu anasahau, anabadili mawazo yake, ana hasira, Ana wivu, katili, na tabia zingine nyingi za kibinadamu.
Ulisema uletewe Andiko linalo sema Mungu kaua mtu.stories za biblia siwezi kuzitolea ufafanuzi.
hata hivyo ukilala na mke wa ndugu yako mtoto anakuwaje wa ndugu yako wakati ameshakufa?
Ndiyo maana nasema kuna binadamu Mungu/Allah kawaumba ili wachomwe Moto,Binadamu SIO MALAIKA.binadamu amepewa utashi wa kuchagua nini afanye,Mungu anajua NIA ZETU za ndani ya mioyo yetu ANAJUA
First things first.Inaonesha ni kwajinsi gani Ambavyo Elimu na sayansi haijakukomboa kwamambo ya fuatayo
1.kuwepo kwa contradiction Hakumaanishi kwamba Mungu hayuko
2.Msomi unae toa fact Kama Mungu hayupo na hiliali Ata Biblia yenyewe inaonekana hujawai kuisoma una sikia tu historia nta kwambia kwann unaonekana Biblia inaonekana hujawai kuisoma
3.Ww kiranga nawenzako woteee
Inaonekana kunashida kwenye akilizenu
Wote Mnajaribu kuingiza sayansi kwenye maswala ya Imani mna sahau kwamba Imani ni Imani tuuu
Na sayansi ni sayansi tuuuu
Nini maana ya Imani??
Ni kua na HAKIKA ya mambo YATSRAJIWAYO NI BAYANA YA MBAMBO YA SIO ONEKANA
Sasa ww umeambiwa Imani inahusu mambo Ambavyo hayoonekani alaf mtu Ana kwambia anataka proof za kisayansi kwenye maswala ya Imani
Mf.Mm binafsi nishawai kuumwa Sana kichwa lakin nikajiombea Mimi mwenyewe kwa Jina La YESU nikapona kwamda mfupi tuuu
Haya Sasa niambie ni prove kwamba ni Mungu kaniponya Kama sayansi inavyotaka (sayansi ina taka proof za kibinadamu)
Tunaweza hata tukatumia miaka 100 na usielewe ilikuaje kuaje nikapona
Kwaufupi Jueni kutifautisha kwamba
Sayansi inahitaji PROOF
ILA
DINI inahitaji IMANI
4.Acheni uvivu wa fikra kupenda kutafuniwa vya Google na watu wengine(nakuona kilakitu unamtaja kiranga wakati kiranga ni mtu Kama ww yemwenyewe biblia hajawai kuhisoma na Kama anasoma Ana soma Kama Phyisics )
Mngekua mnasoma Biblia msingekua mna muulizia Mungu Jamii forum Eti mtu akuthibitishie Mungu yupo alaf Unakesha ukifanya mambo yako mengine
Mungu alisema kwamba
Mtafuteni Mungu maadam anapatikana
Mungu anatafutwa nakatoa ahadi ya kupatikana Kama mtu ata mtafuta kwa uaminifu
Msichojua nyie nikwamba Wapo watu wengi ambao wanasikia sauti ya Mungu Wanaona Maonoo wakiwa wamefumba machoo kwasababu hao watu Wana mtafuta Mungu kwa kufunga,kuomba na Kijitakasa dhambi zao
Ata Wana wa Israel walipo sema kwamba kwann Mungu aongee na Musa tuu. Walitaka kumuona waka ambiwa wajitakasee Kwanza ndo Mungu ashuke aongee nao
SASA NYIE ENDELEENI HIVYO HIVYO HATA KANISANI HAMTAKI KWENDA ALAF MNATAKA KUMUONA MUNGU GOOGLE NA JAMII FORUMS
5.BIBLIA IMEANDIKWA KWA KISWAHILI LAKINI JUA KUTOFAUTISHA KUSOMA BIBLIA NA VITABU VINGINE KAMA PHYSICS N.K
Biblia ni kitabu kinacho changanya Sana Kama utatumia akili zako binafsi ,Bila ya ROHO MTAKATIFU
Uwezi kuelewa sawa sawa Biblia
Mtataka tena tusibitishe ROHO MTAKATIFU YUPO EHH( Kama vile anaonekana )
Sasa nyie endeleeni ku Google tu na kusikiliza wazungu alaf tuuone Kama mtamuona
Mf.kwanin Biblia sio Kama VITABU VINGINE
Yesu mara ya Kwanza alikua na wanafunzi zaidi ya 70+ LAKINI sikumoja aliwaambia ya kwamba
"Mtu atakaye nifuata awe tayari kuula Mwiliwangu na Damu yangu"
Wengi wawana funzi wake hawakuelewa Yesu kamaanisha Nini wakaondoka wengi wakabaki wachache tuu ikiwemo wale 12
LAKINI katika historia ya YESU hatuajaona sehemu ambayo wanafunzi walio bakia walikula mwili wa Yesu
Biblia IMEANDIKWA kwa mafumbo ambayo kwaakili ya kawaida Bila ROHO MTAKATIFU haiwezekani kuifumbua
In short
ACHENI KUSOMA BIBLIA KAMA MLIVYOSOMA PHYISICS NA MATHEMATICS
6..UJUI BIBLIA KWASABAU
Unashanga sifa ya Mungu ya KUSAHU
Kama ungekua msomaji wa Biblia usinge shangaa Mungu maranyingi alikua anawaambia Wana wa Israel kwamba ATA YASAHAU MAKOSA YAO
Ata MAKOSA yako ukiyatubu Leo Mungu ata yasahau
HASIRA
Mungu anazaidi ya HASIRA tena Ni MOTO ULAO
Mungu HASIRA anayo Kama nako huamini kawaulize Sodoma na Gomora wata kudada vulia Haswa
WIVU
Kama ungekua onasoma Biblia usinge shangaa WIVU wa Mungu
Maana yeye ni Mungu mwenye WIVU
Mwambie na Kiranga Jueni kutifautisha kati ya Imani na Sayansi
(+)kanisani unaitwa Msalaba
(+) Shule inaitwa jumlisha
NB.Huu usiwe ugomvi Tuna eleweshana tuu
Nakama kunasehemu nimekosea kuandika Bahati mbaya
msije mkaleta visingizio
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Mungu hafanyi MAKOSA kaa chini soma bible vizur RafikiSasa kama huyo Mungu muweza na mwenye nguvu tulieaminishwa kuwa ana nguvu kumbe nae anafanya makosa kama ya kibinadamu, yaani Neno lake alilotuaminisha ni takatifu kumbe limejawa uongo na mikanganyiko, tunawezaje kuthibitisha au kuamini hata uwepo wake sio Uongo?
Ni sawa na kulazimisha maji kupanda mlima, ndivyo hivyo kulazimisha Mungu wa biblia/quran kuwepo wakati hawana vithibitisho.
Biblia/quran sio kithibitisho cha uwepo wa huyo Mungu maana hivyo vitabu havina logic wala ushahidi wa stories zake, pia huwezi kumthibitisha Mungu kupitia hizo ngonjera zake za uongo za vitabu vya dini.
Kuna wale wanaosingizia masuala ya Uumbaji, nipende tu kuwaambia ukweli mchungu, Mungu hausiki na uumbaji wa dunia wala kiumbe chochote dunian wala nje ya dunia, maana kiuhalisia Mungu nae ni kiumbe, je inawezekana kiumbe kuumba kiumbe mwingine?
Someni vizuri hizo ngonjera za vitabu vya dini zenu mtagundua kuwa kumbe hata binadamu akiwa na nguvu ktk jamii yake nae ni Mungu, kiumbe cha kiroho chochote ni Mungu, hata huyo Mungu wa Mbinguni nae ni kiumbe maana anaishi ktk ulimwengu, na sifa kuu ya kiumbe ni kuishi au kuwa covered/kupatikana/existence ktk ulimwengu wa Mwili au Roho.
Haiwezekani muumbaji aishi ktk kitu/ulimwengu aliouumba yeye mwenyewe je kabla hajazifanya hizo mbingu alikuwa wapi? Someni vizuri na mzielewe hizo stories zenu za uongo mtayajua madhaifu mengi ya huyo mnaemuita Mungu.
Narudia tena wanaopinga uwepo wa Mungu wako sahihi na wanaolazimisha uwepo wa Mungu wako sahihi pia maana hata sisi binadamu ni waungu kwa baadhi ya viumbe dhaifu hivyo tunavitawala, na wanaopinga uwepo wa Mungu wako sahihi maana huyo Mungu tulieaminishwa hayuko na wala hatowai kuwepo zaidi ya ngonjera za vitisho.
Ahahahah..sawa mkuu. Ujue vitu vingine vinahitaji akil nying kama za kwenu nyie atheists ndio maana sie tunawaunga mkon kwa kuchangia chochotePost yako hii ina logical fallacy inaitwa "ad hominem fallacy".
Hapa tunaongelea hoja ya kifalsafa. Hoja, si mtu.
Sasa, wewe umeshindwa kujibu hoja, unamshambulia mtoa hoja.
Mara nyingi hii hutokana na huyu mshambuliaji, kwa hapa wewe Ivan Stepanov. Umeshindwa kujibu hoja, unamshambukia mtoa hoja.
Ad hominem attack, logical fallacy.
Mkuu,Inaonesha ni kwajinsi gani Ambavyo Elimu na sayansi haijakukomboa kwamambo ya fuatayo
1.kuwepo kwa contradiction Hakumaanishi kwamba Mungu hayuko
2.Msomi unae toa fact Kama Mungu hayupo na hiliali Ata Biblia yenyewe inaonekana hujawai kuisoma una sikia tu historia nta kwambia kwann unaonekana Biblia inaonekana hujawai kuisoma
3.Ww kiranga nawenzako woteee
Inaonekana kunashida kwenye akilizenu
Wote Mnajaribu kuingiza sayansi kwenye maswala ya Imani mna sahau kwamba Imani ni Imani tuuu
Na sayansi ni sayansi tuuuu
Nini maana ya Imani??
Ni kua na HAKIKA ya mambo YATSRAJIWAYO NI BAYANA YA MBAMBO YA SIO ONEKANA
Sasa ww umeambiwa Imani inahusu mambo Ambavyo hayoonekani alaf mtu Ana kwambia anataka proof za kisayansi kwenye maswala ya Imani
Mf.Mm binafsi nishawai kuumwa Sana kichwa lakin nikajiombea Mimi mwenyewe kwa Jina La YESU nikapona kwamda mfupi tuuu
Haya Sasa niambie ni prove kwamba ni Mungu kaniponya Kama sayansi inavyotaka (sayansi ina taka proof za kibinadamu)
Tunaweza hata tukatumia miaka 100 na usielewe ilikuaje kuaje nikapona
Kwaufupi Jueni kutifautisha kwamba
Sayansi inahitaji PROOF
ILA
DINI inahitaji IMANI
4.Acheni uvivu wa fikra kupenda kutafuniwa vya Google na watu wengine(nakuona kilakitu unamtaja kiranga wakati kiranga ni mtu Kama ww yemwenyewe biblia hajawai kuhisoma na Kama anasoma Ana soma Kama Phyisics )
Mngekua mnasoma Biblia msingekua mna muulizia Mungu Jamii forum Eti mtu akuthibitishie Mungu yupo alaf Unakesha ukifanya mambo yako mengine
Mungu alisema kwamba
Mtafuteni Mungu maadam anapatikana
Mungu anatafutwa nakatoa ahadi ya kupatikana Kama mtu ata mtafuta kwa uaminifu
Msichojua nyie nikwamba Wapo watu wengi ambao wanasikia sauti ya Mungu Wanaona Maonoo wakiwa wamefumba machoo kwasababu hao watu Wana mtafuta Mungu kwa kufunga,kuomba na Kijitakasa dhambi zao
Ata Wana wa Israel walipo sema kwamba kwann Mungu aongee na Musa tuu. Walitaka kumuona waka ambiwa wajitakasee Kwanza ndo Mungu ashuke aongee nao
SASA NYIE ENDELEENI HIVYO HIVYO HATA KANISANI HAMTAKI KWENDA ALAF MNATAKA KUMUONA MUNGU GOOGLE NA JAMII FORUMS
5.BIBLIA IMEANDIKWA KWA KISWAHILI LAKINI JUA KUTOFAUTISHA KUSOMA BIBLIA NA VITABU VINGINE KAMA PHYSICS N.K
Biblia ni kitabu kinacho changanya Sana Kama utatumia akili zako binafsi ,Bila ya ROHO MTAKATIFU
Uwezi kuelewa sawa sawa Biblia
Mtataka tena tusibitishe ROHO MTAKATIFU YUPO EHH( Kama vile anaonekana )
Sasa nyie endeleeni ku Google tu na kusikiliza wazungu alaf tuuone Kama mtamuona
Mf.kwanin Biblia sio Kama VITABU VINGINE
Yesu mara ya Kwanza alikua na wanafunzi zaidi ya 70+ LAKINI sikumoja aliwaambia ya kwamba
"Mtu atakaye nifuata awe tayari kuula Mwiliwangu na Damu yangu"
Wengi wawana funzi wake hawakuelewa Yesu kamaanisha Nini wakaondoka wengi wakabaki wachache tuu ikiwemo wale 12
LAKINI katika historia ya YESU hatuajaona sehemu ambayo wanafunzi walio bakia walikula mwili wa Yesu
Biblia IMEANDIKWA kwa mafumbo ambayo kwaakili ya kawaida Bila ROHO MTAKATIFU haiwezekani kuifumbua
In short
ACHENI KUSOMA BIBLIA KAMA MLIVYOSOMA PHYISICS NA MATHEMATICS
6..UJUI BIBLIA KWASABAU
Unashanga sifa ya Mungu ya KUSAHU
Kama ungekua msomaji wa Biblia usinge shangaa Mungu maranyingi alikua anawaambia Wana wa Israel kwamba ATA YASAHAU MAKOSA YAO
Ata MAKOSA yako ukiyatubu Leo Mungu ata yasahau
HASIRA
Mungu anazaidi ya HASIRA tena Ni MOTO ULAO
Mungu HASIRA anayo Kama nako huamini kawaulize Sodoma na Gomora wata kudada vulia Haswa
WIVU
Kama ungekua onasoma Biblia usinge shangaa WIVU wa Mungu
Maana yeye ni Mungu mwenye WIVU
Mwambie na Kiranga Jueni kutifautisha kati ya Imani na Sayansi
(+)kanisani unaitwa Msalaba
(+) Shule inaitwa jumlisha
NB.Huu usiwe ugomvi Tuna eleweshana tuu
Nakama kunasehemu nimekosea kuandika Bahati mbaya
msije mkaleta visingizio
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
DINI ni hadithi za kutumgwaMaandiko yote ya kidini ni Hadithi za kutungwa sawa na Hekaya za Abunuwasi au riwaya za Alfu Lela ulela.
Mungu hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.
Dhana ya uwepo wa Mungu mwema, mkamilifu, mwenye kujua yote, muweza wa vyote na mwenye upendo na huruma Kwenye Dunia iliyojaa uovu, ukatili, uasi, mabaya na shida za kila aina ni uthibitisho kwamba Mungu huyo Hayupo.
Mungu mkamilifu, Alishindwaje kuumba Dunia isiyo na uovu?
Mungu muweza wa vyote, Alishindwaje kuumba Binadamu wema tu wasio na uwezo wa kutenda dhambi, ukatili na ubaya?
Mungu mwenye kujua yote, Hakujua kwamba uovu, ukatili na mabaya yatakuja kuwepo duniani ayadhibiti mapema?
If God wanted us in Heaven Why he created us on Earth?
Mungu huyo, Alishindwaje kutuumba tukiwa mbinguni directly kama alitaka tuwe Mbinguni?
God is a fictional character invented by religion to scam people.
Religion convinced people that there's an invisible man beyond the sky who watches everything.
Human beings created God through assumptions Based on things beyond their imaginations.
God doesn't EXIST.
Kila mtu huzaliwa Atheist hata wewe ulizaliwa Atheist mpaka pale ulipo aminishwa kwamba kuna invisible creature beyond the sky anaitwa Mungu.
Hizi ni fiction stories za kurithishwa.
Wote tunajifunza hapa.Ahahahah..sawa mkuu. Ujue vitu vingine vinahitaji akil nying kama za kwenu nyie atheists ndio maana sie tunawaunga mkon kwa kuchangia chochote
AWACHOME MOTO SABABU YA MATENDO YAO MAOVU.Ndiyo maana nasema kuna binadamu Mungu/Allah kawaumba ili wachomwe Moto,
Maana mungu anakujua wewe kabla kukuumba, anakujua wewe na maisha yako yote ulioishi na unayomalizia kuyaishi, na anajua kitu gani, siku gani tukio gani litakukuta hapo baadae, pia anajua utakufaje, lini, wapi na muda gani
Mungu yupi aliyemuua Onani?Ulisema uletewe Andiko linalo sema Mungu kaua mtu.
Nimekuwekea hapo Mungu alimuua Onani.
Sasa usiseme tena kwamba Mungu hajawahi kuua mtu.
Mungu ni Muuaji mkubwa sana.
Kwanza hata ujaisoma sehemu yenyeweMkuu Daudi1,
Kwenye pasaka mungu anawaambia wana wa israeli wapake damu katika vizingiti ili apate kufahamu sehemu waliyomo. embu tuondee mihemko.
Alishindwa kutambua sehemu walizopo na wakati anadai yeye yuko kila mahali?
Mkuu,DINI ni hadithi za kutumgwa
Lakin
Unaamini BigBang theory
Unaamini zamani Binadamu tulikua Sokwee
Dhaaah
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app