Mikasa gani umeipitia Jf ambayo hutoweza kuisahau kamwe

Wew una damu gani mzee yote hayo yakukute wew tu?
 
Mimi figganigga topic yake ya kupeleka mahari hahaaaaaaaaaaa sijui Kama nilishawahi kucheka humu JF Kama siku niliyosoma huo mkasa Hahaaa ... ishu ya kambuzi kalikopotea sio ndogo, sitasahau Kamwe 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Nilitaka kuandika kitu kinachoelekeana na hiki pia

Naona kama hii ID imekuwa na maneno mengi sana siku hizi....ama ni mimi sikunotice uwepo wake kabla
Maybe he/she tryin hard to build up 'jeiefu sivii'...just maybe!
 

Naomba link ya huo uzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…