Nyoka mwenye makengezaa
JF-Expert Member
- Nov 22, 2019
- 787
- 1,054
Mambo yasiwe mengi wacha tumkubalie ili aridhike [emoji23]
Mwambie na Shunie anikubalie kupunguza rapsha, mana nikilianzisha apa Lwanda anaweka stopa hii stori
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo yasiwe mengi wacha tumkubalie ili aridhike [emoji23]
Hangewaza ni synonym ya ulicho waza na kuandika na mengine zaidi kwa hiyo hukusoma shule unatusumbus tu!Hangeweza = Asingeweza!!!!
Mwambie na Shunie anikubalie kupunguza rapsha, mana nikilianzisha apa Lwanda anaweka stopa hii stori
Mimi ni British swahili is ma second languageHujielewi! Kiswahili hujui, kiingereza hujui! Andika lugha yako tu ya kienyeji!
Pia kusema waturutumbi (washirikina)hawapo sio kweli,, huko vijijini wapo mpaka leo, na wanajulikana.. zaidi sana mambo ya kukatana mapanga sababu ya imani za ushirikina ukuryani hayapo..yalikuwepo huko usukumani kipindi cha nyuma sijajua kwa sasa kama yapo ama laa. Mimi ni mkurya wa tarime na sehemu alizotaja mleta stori ninazifahamu,,Kwanza Tarime hakuna majini pale!!! yatakaa wapi wakati kila mtu wilayani anakula bangi tena basi lile la kibuyu mbichi, unatumia ring ya baiskeli kulivuta!! wala lango la kuzimu hakuna pale!! kwa sababu moja kubwa!!
majini kamwe hayawezi kukaa mahali ambapo watu wana tabia hizi hapa chini ...
1;Hawatawadhi!! hebu fikiria mtu anatemebea na nyaa ya siku tano Makalioni, hili mkurya kwake ni sawa tu, hajui hayo!! ukitaka mkosane maisha yote!! mwambie mkurya ashike kopo la chooni akatawadhe nyaa yake utakiona!!
wanaita kinyesi! mtakosana dakika sifuri!! km mie muongo nenda hapo kipunguni kajaribu ujioneee!! na kwa taarifa yako kawaida ya nyaa zao ni ngumu km jiti kavu!
hii natokana na matumizi makubwa ya ugari ile ya uresi na Mahemba kwa kimoro! ili kukwepa kujichafua aendapo haja kubwa! pia kwenda chooni mara kwa mara! mkurya aweza piga siku saba bila nyaa! hii imefanya nyaa zao ziwe ngumu na hkn shoga kure!! hebu fkiria nyaa inayo pitisha kimba km jiti!!!! kajimshsdede si katavunjika??
Ukikutana na Mkurya tuu! Tarime yote ile! Mugumu mpaka Isbania nchini kenya, jua hili la utamaduni wa kuto tawadha linawahusu hawa wotee watoto, wake kwa wanaume! hata humu wamo nawajua Wakurya wote!! km nabisha wajitokeze wakatae!!!
2; Wilaya nzima!! lango la kuzimu katika wilaya ile hakuna, uliza mchawi yeyote hata waturutumbi tu hkn, ukiwa na majini sijui mchawi wewe ni panga tu lina kuhusu! tena lile kali la mara moja unapigwa mchana kweupeeee! ukasimulie vizuri na baada ya kukufanyia hivi hakimbii mtu!! sijui kuogopa police nooo!! na
polisi pia ktk kamata yao!! waje vizuri!! wajipange hasa au ataenda yeye polisi, ndo maana yaitwa kanda Maalumu!!!! tangu zamani za mkolioni ni utamaduni wao usiwahukumu! wako vizuri sana. na ndivo walivyo!
3; Wakurya hawana majini wala uturutumbi!! wao ni kata funua! moto mchibuyu ukiongea kijini jini wanajua unajifwanya. unawazungusha tu! na ubabaishaji mwingi hutaki kufanya kazi, mvivu tu weye mapanga shwaaa!! ile wilaya yote mchawi hakatizi salama!! sembuse majini!! kuna wachawi humu waulize!
4;Hakuna mkurya anajua kiswahili kilichonyooka km cha jini Maimuna kure taarime! ni Mura Tata mbuya, Ohoire kwishne, anachapa kaziii kazi na wewe!! ukiongea kiswahili kireefu kule Tarime ni sawa msomi kuongea kwa Mzaramo kiingerza!!
5;hawana muda wa kusikiliza vitu vyenye ukakasi mazungumzo mareeefu!! sijui ukanunue vinguo vipajama!! weee! avae nanii!! mkurya kabisa ararie kipajama wajameni uwiiii!! tuniani kuna mambo hivi kihuhutyoo! cha kuratee!! kikipigwa hakuna muda wa kusubiri unatoka ivoivo unaanza faster!!! kwa kufuata nyayo!! utasikia ''chegheyee!!! ''chegheyeee! Kong'wiii!!??
km alikuja na vijini vyake pale anakuja kaka mkubwa tu anamaliza huo ujinga wooote!! wao ni kazi kazi tu!! kina mama watoto wababa! ni twende kazi! kazi mwanasiasa akija vibaya na maneno ya kizembezembe ni viboko tu hawataki mchezo!!
Si unaona yule afisa usalama Bwire mwenye mafunzo ya kijeshi! alivo muingia kizembe zembe Mkurya original Zakharia tena raia tu, alicho kipata kila mtu anajua nadhani yule jamaa aliacha kazi,
hata Magu kwenda kule huwa anajipanga sana sana!! hakutabiriki sembuse kajini makata hako! hkna bunduki kanapigwa fimbo tu na wasichana vigori tu wanaotoka saro!!
Mkurya ataiba ng'ombe saa ngapi? kukamua saa ngapi? kukamata Lighembe saa ngapi eti Mkurya kabisaa akafute fute vi maji ndani, eti sababu mtu ana kajini kake hapa kanamsumbua kalifungua mabomba usiku!!! thubutuuuu!!! kata futa kenyewe!
Hii ni hadithi ya kutunga sema hivo km ulitaka kuifanya kweli ungeiongelea kwa mazingira ya Wazaramo wa DSM. hapo sawa! kure Mara bin Tarime ni kama ri nchi ra jirani!! haikufaa kuwa Tansania yenu hii!!!
Unajua protester wapo kila angle mkuuBila shaka hujasoma habari hii toka mwanzo..... Jamaa hakusema kuwa yeye ni mkurya, hivyo mambo ya roho ngumu kwake ilikuwa ni stori...pia ukisoma zaidi utaona kuwa jamaa alikuwa na roho ngumu baada ya kutoka kongo..na kipindi cha ashura jamaa amesema alikuwa mdogo darasa la tatu ama la tano hivyo asingefanya chochote kwa umri huo, na pia kwao wazee hawakuwepo na wakubwa waliokuwepo ni dada zake.. na sidhani kama hao wadada wangefanya maajabu yeyote..pia kusema wakurya hawanawi baada ya kujisaidia kwa sasa haina ukweli wowote sababu ya maendeleo yaliyopo katika jamii zetu, labda kama umeamua kukashfu..mambo hayo kwa kipindi cha zamani ilikuwa ni sahihi tena kwa jamii na makabila karibu yote sababu ya uhaba wa maji , vyoo na ukosefu wa elimu ya afya..
My dear You'll never respond in English!! am not dat much cheap!! as u'r ass can tell u!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sawa kaka wewe mwerevu na mkweli tumekubali [emoji1376]
Chukua kombe[emoji471]umetisha kabisa na upo smart kichwani kwakweli tumekufurahia
Asante
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Hujielewi! Kiswahili hujui, kiingereza hujui! Andika lugha yako tu ya kienyeji!
Naomba unitag kwenye hiyo storiUle mkasa wa MAMA YANGU ANAKULA NYAMA ZA WATU
yule dada aliyekuwa anahadithia alisema ukishajiingiza kwenye uchawi unapandikizwa roho ya kikatili roho ya kutokua na huruma
Ndicho nakiona kwa LwandaMagere alichofanyiwa na hao mashetani makatili.
@LwandaMagere ni mtu mwenye busara alishawapuuzaa mdaa mref ndo maana tunaendelea kula burudaniMimi sasahivi nimeamua kutowajibu wajinga
Tuwapuuzie jaman,ikiwezekana aking'aza pua lake hapa kila mtu amle block tu!
Wanataka waanze tupotezea muda kama yule mwehu wa juzi alivyofanya.