Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

Kwa hiyo kaka hapo unatwambia hadi ibilis/shitani sometimes wanakaa pembeni kutushangaa kama ulivyo shangaa kuona wakisagana
 
Mkuu ukisoma hii simulizi ametoa Evidence nyingi sana nadhani yeye mwenyewe kwakuliona hilo ndiyo maana aliamua kuwataja baadhi ya matajiri aliofanya nao ukatili
 
Bila shaka hujasoma habari hii toka mwanzo..... Jamaa hakusema kuwa yeye ni mkurya, hivyo mambo ya roho ngumu kwake ilikuwa ni stori...pia ukisoma zaidi utaona kuwa jamaa alikuwa na roho ngumu baada ya kutoka kongo..na kipindi cha ashura jamaa amesema alikuwa mdogo darasa la tatu ama la tano hivyo asingefanya chochote kwa umri huo, na pia kwao wazee hawakuwepo na wakubwa waliokuwepo ni dada zake.. na sidhani kama hao wadada wangefanya maajabu yeyote..pia kusema wakurya hawanawi baada ya kujisaidia kwa sasa haina ukweli wowote sababu ya maendeleo yaliyopo katika jamii zetu, labda kama umeamua kukashfu..mambo hayo kwa kipindi cha zamani ilikuwa ni sahihi tena kwa jamii na makabila karibu yote sababu ya uhaba wa maji , vyoo na ukosefu wa elimu ya afya..
 
Pia kusema waturutumbi (washirikina)hawapo sio kweli,, huko vijijini wapo mpaka leo, na wanajulikana.. zaidi sana mambo ya kukatana mapanga sababu ya imani za ushirikina ukuryani hayapo..yalikuwepo huko usukumani kipindi cha nyuma sijajua kwa sasa kama yapo ama laa. Mimi ni mkurya wa tarime na sehemu alizotaja mleta stori ninazifahamu,,
 
Unajua protester wapo kila angle mkuu
 
Alaf mstuzngue bhn huu uz n kwa ajl ya story ya lwanda subrn amalize alaf ndo muendeleze hzo taarab zenu
 
Hujielewi! Kiswahili hujui, kiingereza hujui! Andika lugha yako tu ya kienyeji!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Kutoka page ya kwanza mpaka hii nimetembea nazo zote kwa siku tatu aise mbombo ngafuuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…