Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

Ngoja tusome
 
dah huyu dogo muongo afu hajui kudanganya wala kupangilia matukio, yaani bekitatu anawapangia masharti kwenu, anamtishia dada ako kumuua ilihali mlinzi keshakufa live afu msichukue hatua yoyote.
Nimesoma mpka sehemu ya 3 nkaona ni maluweluwe tu mpaka kichwa kinauma uandishi mbovu sana
 
Ndugu zangu ukiamua kuwa mfuasi wa Kristo basi achana na mambo mengine ya duniani vinginevyo unaweza ukadhani Yesu anakulinda kumbe hakuna,yule jamaa aliyeingia kwenye ule mgahawa na mkewe,ilionekana walikuwa wakimpenda sana Yesu kwa maneno ila matendo hakuna!,Kiukweli wangekuwa watu wa maombi wasingelishwa ule uchafu,lakini kwasababu wengi wetu dini tumezifanya kama fasheni ilikuwa haijawasaidia kitu,ukiamua kuwa mtu wa dini,ni vema ukawa mtu wa dini,lakini ukiamua kuwa mtu wa kidunia,ni vema ukawa mtu wa kidunia.Inapaswa uchague moja ambalo utasimama nalo,mimi mwenyewe kuna wakati nilishindwa kufanya tukio lolote la ushirikina kwasababu kuna watu niliyokutana nao wakiwa na nguvu ya Mungu,nilishindwa pamoja na ujanja wangu wote!.Hivyo watu wengi waliyolishwa kile chakula chenye uchafu,hawakuwa na ulinzi wa Mungu hata kidogo.
 
Ikiwa nitakuwa mwaminifu kwako, kwa maoni yangu mwenyewe ya unyenyekevu bila kuwa na hisia bila shaka, bila kumuudhi mtu yeyote ambaye anafikiri tofauti na maoni yangu, lakini pia kwa kuangalia suala hili kwa mtazamo tofauti, ningependa kusema. Sina la kusema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…