Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
FreeBasics kwa sasa ipo halotel tu mkuuNna line ya free basic Kama Niko bush Mana yenye bando net haisomi mkuu
Ndo hiyo nlikua naitumia but for now npo town ,nitumie link aiseeFreeBasics kwa sasa ipo halotel tu mkuu
Hawawezi watanzania,wabinafsi tunafahamianaBasi kiwekeni huku kwa manufaa ya wengine
tatizo sio kuungwa ebu tuweni wajamaa we niunge uko telegram na km sijalhpa niremove tuMnaotaka muungwe telegram tumeni 1000 namba hii
0656 625 448
Tigo
'Protokali' za kiganga amezingatia 'Bibi'.Nimeipenda sana hiyo barua ya rufaa!😁😁😁
kabla ya kuongea naye chochote nilitoa kile kingozi kilichokuwa kimekazwa kama kijiti ambacho nilipewa kule Kasulu na yule mama akaniambia ile ni rufaa ya mimi kwenda pale nikampatia mzee Nchibaronda.. Mzee Nchibaronda alikipokea akaniambia alifahamu ninakuja na alikuwa akiniona kila hatua niliyopiga,
Nitairudia tena
Hivi hii story iliisha?Kumbuka jamaa hana mishe hapa town kwahiyo hiki kidogo anachopata kwenye story kinasukuma siku.
Shida ya wafrika wengi wanapenda vya bure sana. Sijui kwanini.
Mtu anataka kusoma story yote ya mtunzi bure tena anahimiza mtoa uzi andike yote bila hata kujiuuliza huyu mtu anatumia bando na muda wake. Huyu jamaa nimempenda sana. Watu wanatakiwa waishi hivyo, tutapiga hatua sana ya kimaendeleo
Mi sitaki kuungwa nataka story tuMnaotaka muungwe telegram tumeni 1000 namba hii
0656 625 448
Tigo