Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

Huyu aliyelipa buku.telegram..

Akiileta hapa..wadau wanampa za bando .

...
Jf imeingiliwa na mijitu ya hovyo hovyo mno.... ....

Ndio maana hata wataalam na wenye hekma wapo kimya ...sio kama zamani...
 
Mnaotaka muungwe telegram tumeni 1000 namba hii

0656 625 448

Tigo
 
Nimesoma tangu juzi na nimemaliza zote leo.
Kisa kinafikirisha.
 
Nimeipenda sana hiyo barua ya rufaa!😁😁😁
'Protokali' za kiganga amezingatia 'Bibi'.
kabla ya kuongea naye chochote nilitoa kile kingozi kilichokuwa kimekazwa kama kijiti ambacho nilipewa kule Kasulu na yule mama akaniambia ile ni rufaa ya mimi kwenda pale nikampatia mzee Nchibaronda.. Mzee Nchibaronda alikipokea akaniambia alifahamu ninakuja na alikuwa akiniona kila hatua niliyopiga,
 
Kumbuka jamaa hana mishe hapa town kwahiyo hiki kidogo anachopata kwenye story kinasukuma siku.
Shida ya wafrika wengi wanapenda vya bure sana. Sijui kwanini.
Mtu anataka kusoma story yote ya mtunzi bure tena anahimiza mtoa uzi andike yote bila hata kujiuuliza huyu mtu anatumia bando na muda wake. Huyu jamaa nimempenda sana. Watu wanatakiwa waishi hivyo, tutapiga hatua sana ya kimaendeleo
Nitairudia tena
 
Kumbuka jamaa hana mishe hapa town kwahiyo hiki kidogo anachopata kwenye story kinasukuma siku.
Shida ya wafrika wengi wanapenda vya bure sana. Sijui kwanini.
Mtu anataka kusoma story yote ya mtunzi bure tena anahimiza mtoa uzi andike yote bila hata kujiuuliza huyu mtu anatumia bando na muda wake. Huyu jamaa nimempenda sana. Watu wanatakiwa waishi hivyo, tutapiga hatua sana ya kimaendeleo
Hivi hii story iliisha?
 
Back
Top Bottom