Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

Aaaaah anazingua yaani mkuu umeanza kututupa tumeanza na wewe mpaka ivii sasa.

We sema tu hata mchango tutatoa Ila endelea mkuu uyo watanzania wapo wengi tutanunua tu hata Kama tumesoma
 
Wanaosoma hapa jf ni wachache sana na kuna watanzania mil 40
Bro malizia kisa chako huyo kama ananunua atauza tu
Uko sahihi...ye amalizie tu hii simulizi then huyo wa kitabu atauza na biashara itafanyika vizuri tu
 
Kaka achana na huyo boya mpka Sasa huu uzi un comment karibia 900 hayo ni makadirio ya watu na wengine comment zimejirudia, cha muhimu kama uliamua kutuhadithia ww malizia tu.wengine matapeli kaka
 
Uamuzi ni wako shekhe story umeileta mwenyew hakuna aliyekulazimisha wala kukuomba.Ukiamua uache poa ukisema uendelee poa!!
 
Mkuu hapa jf tuko watu wachache sana ukilinganisha na idadi ya watanzania ote malizia tu halafu na yeye mfanye biashara kwa namna nyingine inayowezekana.

Wengine hapa tunatamani upost kila baada ya dakika 5 sasa ukiacha hadi tuje tusubiri hicho kitabu ni mda mrefu sana mana kitabu hakitumii siku moja kuandikwa.

Please mkuu malizia tujifunze
 
LwandaMagere

Hapana, usikubali. Kataa kabisa.

Kwa kisa hiki kuna roho za Watu zinaenda kuponywa. Huu ni utumishi mkubwa sana.

Hizo hela hata ukipokea hutafanyia chochote cha maana kwenye maisha yako, itakuwa Sawa na kujipotezea muda tu. Kataa hizo hela mapema, wala usichelewe.

Mungu hakushindwa kukupa huo utajiri Kwa hizo hustle ulizo hustle, lkn Mungu alitaka uwe mjumbe wake ila kwa ufahamu wako ukajua una hustle kusaka utajiri.

Malizia episode nukta kwa nukta, bila kuacha hata neno moja
 
Achana na mkiritimba huyo

Wamegundua unatoa siri zao sio
 
Usikubali mkuu huo ni mtego, jamaa washajua unataka waanika siri zao zisijulikane. Watakumaliza hao kuwa makini, we malizia story hapahapa
 
Lete srori mzee watu tuokoke .....ndo maana napenda kuwa na pesa za kawaida[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Duh mpaka nimedindisha.....ila mkuu nipe connection ya huko majini..hasa hiyo sehem ya kuwagegeda pisis kalis
 
Achana na hiyo nyang'au pimbi huyo sijui limetokea wapi kenge hilo
 
Lwanda magere iz turningi tu Ze Bold [emoji3]





Anyway fanya unachoona ni bora lakini mpaka hapa ulipofika kama mtu atataka kuiba hichi kisa na akakitengeneza mwisho wa hii story ni rahisi sana. Maana mpaka hapo ulipofikia kuna details nyingi sana ambazo zinanoga na kusisimua.
 
Mkuu achana na tamaa ya pesa, we malizia story nayo itakuwa ni sadaka yako kwa wanao kufuatilia katika usomaji, pia jamii forum tupo wachache sana na ukilinganisha na idadi ya watu tz na nje na tz, yy kama kuuza atauza tu pindi akifanikiwa kuandika kitabu.

Nakushauri malizia ulilo lianzisha, achana na huyo msaka tonge, kama umeusaka utajiri kwa jasho na damu leo anakuletea habari za utajir mwingine kuptia kitabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…