Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ianendelea sehemu ya 11...basis nikachukua baiskeli nikaeeeeendaaaa nikakata kona kufika Kwa mbele karibu na Kwa Mzee mwita maranya karibu na kituo cha police nikabanwa na haja Kubwa nikaweka baiskeli pembeni,hapo saaaasa balaa Kubwa likatokea nilivyomaliza kukata gogo natafuta majani nitawaze naskia mkono unanitawaza na maji ya moto yanunikiaaa vizuuriii nikavaa kaptula na kutoka mbio kufika kwenye baiskeli lahaula naona nyani kapakia anaiendesha huku akiniaga Kwa kicheko..wakazi Wa tarime mtakua mnajua mwita maranya anakaa karibu na kituo cha police ...ngoja kwanza nikahesabu hela kunaa mteja kalipa milioni 23 ya biashara nitarudi baadaye
Mm teragram niliifuta baada ya kuacha kubet lakn nimeipakua tena story tamu hiiHii story nmeshaikosa ingawaje nmetuma buku ya mb,masimu ya kichina yakshajaa vitu vingi huwa hayaruhusu kudownload ktu,n bora utumie WhatsApp maana kila mtu anayo
Ule Wa jamii ingejuaUnahusu nini?
Kama ni wa stori za kutunga au true story nitag
Samahani mkuu sijaelewa vizuri, inamaana jamaa Mrume ndago harudi tena kuendelea na stori?Hivi elf moja ni pesa ya kutoa povu? Aisee umaskini mbaya sana
Kijana wa watu kagoma kuuza yawezekana angepewa pesa kubwa tu ila kaomba bukubuku ili angalau apata vocha na mb bado wanatoa povu
Achen ujinga na mawazo ya kimaskini ilipaswa tugome buku ndogo tumwambie apansdishe bei
Tabia za kimaskini
Mawazo ya kimaskini
Stupid
Pakua app kwanzaWee jamaa mbona najiunga kwa link bila mafanikio?
Yule dogo utoto tuUle Wa jamii ingejua
Ndio.. hamia Tellegram ndio Mambo yote yako hukoSamahani mkuu sijaelewa vizuri, inamaana jamaa Mrume ndago harudi tena kuendelea na stori?
Uzi umeanza kimasihra sijajua utamalizika kimasihra au lah !!Ni uzi unaanza hovyo ila mbele wa moto
Ila lawama zangu kwa mwandishi
Anaringa kweli
Mkuu hili povu lote la nini.?? Wadau naamini hawalalamikii hiyo buku, wengi nilichoona hapa ni hawana hata hiyo telegram na wengi ni changamoto kwao kuanza kuhangaika nayo either kutokana na simu wanazotumia ama wengine kuna mambo yao binafsi wanajiepusha nayo humo..!Hivi elf moja ni pesa ya kutoa povu? Aisee umaskini mbaya sana
Kijana wa watu kagoma kuuza yawezekana angepewa pesa kubwa tu ila kaomba bukubuku ili angalau apata vocha na mb bado wanatoa povu
Achen ujinga na mawazo ya kimaskini ilipaswa tugome buku ndogo tumwambie apansdishe bei
Tabia za kimaskini
Mawazo ya kimaskini
Stupid
Hapo angeweka link ambayo ingetupeleka moja kwa whatsapp kwake, mtu ukimlipa anakuadd kwenye group kisha ye anasimulia kwenye group, sababu humu watu karibia wote tunatumia whatsapp na sio telegramWakati umeleta hoja ya mtu kukuomba mtengeneze kitabu nilikushauri ukubali, sasa hii ya group la telegram huwezi kupata kiasi kizuri kama kutoa kitabu.
Lazima, kuna dalili hizoUzi umeanza kimasihra sijajua utamalizika kimasihra au lah !!
Hakukuwa na hii habariWakati umeleta hoja ya mtu kukuomba mtengeneze kitabu nilikushauri ukubali, sasa hii ya group la telegram huwezi kupata kiasi kizuri kama kutoa kitabu.
Msema kweli mpenzi wa Mungu[emoji28]Dah, braza mimi sio kwamba nashindwa kulipa hyo buku. Ila tatzo nikishaipakua hyo app ya telegram lazma nianze kutafta link za magroup ya malaya na mim ctaki kurudi tena huko. Yani hyo app ctak kuiona kabisa kwny cmu yangu
Wakuu nawaomba vumilieni tu maana sitaweza kurudi kwenye kisa cha pederi maana watu walitaka stori iishe na mimi sikuwa na namna nimeona niimalizie,Pia nimejifunza kwa komenti zenu za kunitia moyo!,Nawaahidi ya kwamba kisa kinachofuata ntahakikisha nayasimulia yale yote ntakayo yakumbuka na sita Acha kitu chochote!
Ndio unahamia huku ,utaniambia kama ataanzia hapa maana anaweza kuanza mwanzo@Jimena onlyalvira kaburungu Hornet Mgonga Like na wale wanyanyasaji wote na simu zao orijino mtanikutaga huko
Mimi huyoooo...kwenye vitua vizuri sitaki ujinga