Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

Hii story nmeshaikosa ingawaje nmetuma buku ya mb,masimu ya kichina yakshajaa vitu vingi huwa hayaruhusu kudownload ktu,n bora utumie WhatsApp maana kila mtu anayo
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we fala umenifanya nicheke kinoma [emoji23][emoji23]
 
Hii story nmeshaikosa ingawaje nmetuma buku ya mb,masimu ya kichina yakshajaa vitu vingi huwa hayaruhusu kudownload ktu,n bora utumie WhatsApp maana kila mtu anayo
Mm teragram niliifuta baada ya kuacha kubet lakn nimeipakua tena story tamu hii
 
Hivi elf moja ni pesa ya kutoa povu? Aisee umaskini mbaya sana

Kijana wa watu kagoma kuuza yawezekana angepewa pesa kubwa tu ila kaomba bukubuku ili angalau apata vocha na mb bado wanatoa povu

Achen ujinga na mawazo ya kimaskini ilipaswa tugome buku ndogo tumwambie apansdishe bei

Tabia za kimaskini
Mawazo ya kimaskini

Stupid
 
Samahani mkuu sijaelewa vizuri, inamaana jamaa Mrume ndago harudi tena kuendelea na stori?
 
Mkuu hili povu lote la nini.?? Wadau naamini hawalalamikii hiyo buku, wengi nilichoona hapa ni hawana hata hiyo telegram na wengi ni changamoto kwao kuanza kuhangaika nayo either kutokana na simu wanazotumia ama wengine kuna mambo yao binafsi wanajiepusha nayo humo..!
 
Wakati umeleta hoja ya mtu kukuomba mtengeneze kitabu nilikushauri ukubali, sasa hii ya group la telegram huwezi kupata kiasi kizuri kama kutoa kitabu.
Hapo angeweka link ambayo ingetupeleka moja kwa whatsapp kwake, mtu ukimlipa anakuadd kwenye group kisha ye anasimulia kwenye group, sababu humu watu karibia wote tunatumia whatsapp na sio telegram
 
Dah, braza mimi sio kwamba nashindwa kulipa hyo buku. Ila tatzo nikishaipakua hyo app ya telegram lazma nianze kutafta link za magroup ya malaya na mim ctaki kurudi tena huko. Yani hyo app ctak kuiona kabisa kwny cmu yangu
Msema kweli mpenzi wa Mungu[emoji28]
 

Kana kenonke mura...rudia ilikuwaje musani tupate picha kamili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…