Sawa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] buku buku zinawatoa watu povu ....kiukweli mm hua ni mgumu kuamini simulizi kama hizi....ila hii lipo jambo nmejifunza . ....kaka wawatu kaongea ukweli tu kua apate hizi buku angalau na yeye zimsaidie maana anapitia uguma ....sasa shida iko wapi....
Mtuache tuliotoa buku buku zetu tufaidi simulizi yaan imefikia patamu sana...
Wale wa jero jero mje inbox niwape link ya whatsapp
Setting na location nakupata vyema hujatoka nje ya mstari.Ila Kuna mwalimu mkuu miaka hyo hapo Turwa uliposoma aliwah kufanyiwa kitu mbaya na jini alilokutana nalo njian akidhani ni mwanamke wa kawaida.
Huyo mwalimu baada ya kuelewana na yule mdada wakaenda guest house, mwalimu alifanya Mambo yake, baada ya kumaliza yule jini akambadilikia( akamuomba mchezo mwalimu mkuu) doh kasheshe ikaanzia hapo, ila kwa nguvu za yule jini alimuweza mwalimu kwa hiyo ticha akufumuliwa marinda.
Kwa kufupisha yule mwalimu hadi leo ni kilema anatembelea magongo chanzo ni yule jini, huwa anaadisia mwenyewe na anajilaumu Sana kupayukia mwanamke asiyemjua, kama atakuwa ajastafu bado atakuwa hapo shule.kawa kilema kabisa
Asant babyMy baby,
My number one..
My one and only..
My onlyalvira
Baby naenda kukuibia hii story yote mpenzi moyo wako usisononeke
Coming soon my switii
ipo mpaka 36 una sh.ngapiMwenye sehemu ya 33 ajitokeze[emoji23][emoji23]
Jero[emoji23][emoji23]ipo mpaka 36 una sh.ngapi
Nakutumia bure mpenzi.Jero[emoji23][emoji23]
APUNGUZE HADI 100 MIA KISA KITAMU UTUNZI MKALI SANA ILA SIYO CHA KWELITupo tyr
kumepoa jamaa mvivu amekula buku buku kwasiku anashusha vi short episode......ana base kwenye ngono tuuu nimeamua kuondoka bila kushawishiwa na mtu yeyote.....Hii simulizi kwa humu Ilikua inachagizwa sana na comments za wadau. Sasa kule telegram sidhani kama kuna hii Ladha.
Wabongo bhana ni watu wa ajabu sana....stori ilivyokuwa humu mlisema ashushe stori yote bila kuruka kitu.kumepoa jamaa mvivu amekula buku buku kwasiku anashusha vi short episode......ana base kwenye ngono tuuu nimeamua kuondoka bila kushawishiwa na mtu yeyote.....
kwani ni wasap pale kwamba utaona leftWabongo bhana ni watu wa ajabu sana....stori ilivyokuwa humu mlisema ashushe stori yote bila kuruka kitu.
Sasa mdau anaelezea jinsi anavyopiga bakora eti umesusa....eti umeleft, mbona mim sijaona mtu aliyeleft hilo group au ndo unatafuta sifa kwamba muungwana sanaaaa
Haya maneno yako yatakuponzaAPUNGUZE HADI 100 MIA KISA KITAMU UTUNZI MKALI SANA ILA SIYO CHA KWELI
nipo nyuma yakoNAPANGA KUFUNGUA UZI WA MADAI
NIMETAPELIWA BUKU LANGU[emoji28][emoji28]
SHIDA YANGU SIO STORI YAKE TENA NATAKA BUKUUUnipo nyuma yako