Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] buku buku zinawatoa watu povu ....kiukweli mm hua ni mgumu kuamini simulizi kama hizi....ila hii lipo jambo nmejifunza . ....kaka wawatu kaongea ukweli tu kua apate hizi buku angalau na yeye zimsaidie maana anapitia uguma ....sasa shida iko wapi....

Mtuache tuliotoa buku buku zetu tufaidi simulizi yaan imefikia patamu sana...
Sawa
 
Aisee baada ya kusoma hii comment nimekutana na bonge la mrembo, kumsalimia anasmile tuu, Ila nilipokumbuka hii wala sikujipendekeza kuomba namba.
Setting na location nakupata vyema hujatoka nje ya mstari.Ila Kuna mwalimu mkuu miaka hyo hapo Turwa uliposoma aliwah kufanyiwa kitu mbaya na jini alilokutana nalo njian akidhani ni mwanamke wa kawaida.

Huyo mwalimu baada ya kuelewana na yule mdada wakaenda guest house, mwalimu alifanya Mambo yake, baada ya kumaliza yule jini akambadilikia( akamuomba mchezo mwalimu mkuu) doh kasheshe ikaanzia hapo, ila kwa nguvu za yule jini alimuweza mwalimu kwa hiyo ticha akufumuliwa marinda.

Kwa kufupisha yule mwalimu hadi leo ni kilema anatembelea magongo chanzo ni yule jini, huwa anaadisia mwenyewe na anajilaumu Sana kupayukia mwanamke asiyemjua, kama atakuwa ajastafu bado atakuwa hapo shule.kawa kilema kabisa
 
Hii simulizi kwa humu Ilikua inachagizwa sana na comments za wadau. Sasa kule telegram sidhani kama kuna hii Ladha.
 
Hii simulizi kwa humu Ilikua inachagizwa sana na comments za wadau. Sasa kule telegram sidhani kama kuna hii Ladha.
kumepoa jamaa mvivu amekula buku buku kwasiku anashusha vi short episode......ana base kwenye ngono tuuu nimeamua kuondoka bila kushawishiwa na mtu yeyote.....
 
kumepoa jamaa mvivu amekula buku buku kwasiku anashusha vi short episode......ana base kwenye ngono tuuu nimeamua kuondoka bila kushawishiwa na mtu yeyote.....
Wabongo bhana ni watu wa ajabu sana....stori ilivyokuwa humu mlisema ashushe stori yote bila kuruka kitu.

Sasa mdau anaelezea jinsi anavyopiga bakora eti umesusa....eti umeleft, mbona mim sijaona mtu aliyeleft hilo group au ndo unatafuta sifa kwamba muungwana sanaaaa
 
Wabongo bhana ni watu wa ajabu sana....stori ilivyokuwa humu mlisema ashushe stori yote bila kuruka kitu.

Sasa mdau anaelezea jinsi anavyopiga bakora eti umesusa....eti umeleft, mbona mim sijaona mtu aliyeleft hilo group au ndo unatafuta sifa kwamba muungwana sanaaaa
kwani ni wasap pale kwamba utaona left
 
Back
Top Bottom