Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

Nimeishia sehemu bwana mkubwa alipohamishia stori telegram, vp ndio kusema haijaendelea jf mpaka hapa. Mimi natumia tecno kitochi haisapoti telegram.
 
Nimeishia sehemu bwana mkubwa alipohamishia stori telegram, vp ndio kusema haijaendelea jf mpaka hapa. Mimi natumia tecno kitochi haisapoti telegram.
Huko sio kwa kwenda labda kama una ishu zako huko utakutana na maudhi tu sasa hivi anabembelezwa kuweka story na buku kala
 
Kuna aliye walazimisha kusoma uzi wake? Yani buku linawatoa jasho kiasi hicho? Ngoja nikakulipie
Buku sio tatizo hata ingekuwa zaidi ila tunauzoefu na mambo hayo story mara nyingi ikishaenda kwenye magroup wachangiaji huanza kumbembeleza mleta story ndicho kinachotokea huko na mlioko huko nasikia hamuwezi kulalamika poleni sana
 
Buku sio tatizo hata ingekuwa zaidi ila tunauzoefu na mambo hayo story mara nyingi ikishaenda kwenye magroup wachangiaji huanza kumbembeleza mleta story ndicho kinachotokea huko na mlioko huko nasikia hamuwezi kulalamika poleni sana
Kwahiyo kuna kipiki piki posta yupo kule anakùletea maswala ya kule?? Vipi unamlipa huyo mbeya mwenzio??
#FOOLISH AGE
 
Kwahiyo kuna kipiki piki posta yupo kule anakùletea maswala ya kule?? Vipi unamlipa huyo mbeya mwenzio??
#FOOLISH AGE
Inawauma sana endeleeni kupambana huko huko wenzenu wanalalamika huku hakuna anyewauliza au wewe ndio chawa wake.
 
.
 
Daah Uzi umetembeeah knomanoma nawakubal wanang kazen mpk tuwe no 1 trend in JF
 
..
 
Aje? Hiz ile story yako ya kidani kule kwa Kitoabu ulishaimalizaga???
Sikumalizia mkuu maana nilipewa ushauri na mzee niache nami nikatii. Kuna sababu nami nilimuelewa.
Asante kwa kuuliza mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…