weka pichaWakuu najua haiwahusu ila kisa kule kwenye group kimefikia patamu Sana tuko episode ya 71 saizi full mauza uza malkia anafanya mambo ya ajabu lwanda kashakua doni balaa
NB bila kusahau shipa la kimkakati linapigwa hatari
Samahanini ndugu zangu[emoji38][emoji38]
Hii story nmeshaikosa ingawaje nmetuma buku ya mb,masimu ya kichina yakshajaa vitu vingi huwa hayaruhusu kudownload ktu,n bora utumie WhatsApp maana kila mtu anayo
Hyo namba sina kwasasa,itafute kwenye comment humu utaipata aliipost au mfate pm lwanda magere atakupatia nambaMkuu naomba hiyo namba ya kutuma pesa nami nijiungr huko.
Tunajinga vip huko?Telegram kuna gram tele za simulizi
Mkuu lupatu Ndiyo wapi nifungueni akiliSaka kwanza utajiri kisha ndo uende lupata hatari sana sio wachawi tu hata waganga watakuogopa wakikujaribu kuanzia mganga alipewa kazi,jini atakayetumia na mhusika anayetaka kukuroga iwe hata ni mwanamke anataka kukuwekea limbwata lazima tuwapige chepe ndo maana unashauriwa ukiwa na kinga hii uwe muwaz kwa watu wako wa karibu
Yaani Shigongo siyo?Ushauri kwa LwandaMagere we si upo mwanza mzee mtafute basi zabroni mwita akusaidie mtoe kitabu bila shaka wengi wana mjua ana kitabu cha sitoisahau gamboshi Maana ye alishachukuliwa na wachawi na kupelekwa ukogamboshi ila mungu mwema alifanikiwa kurudi duniani mzee kitabu hiki utapga pesa ndefu zabron alishapata mpaka m 100 na machenchi kupitia ushuhuda wake. kwa hicho kitabu chake alafu hapa usiache kusimulia, maliza na ukitoa kitabu utapiga pesa mim nimesoma kitabu chake zabron alinitumia kwa wasap through hard copy lakini pia kuna Chanel ipo YouTube ya davistar mata media story take ipo furu mpka zabron mwenyewe unamuona akisimulia na ameshawai simulia redio free Africa hii sitosahau gamboshi wengi humu wanamjua juzi kati ndio kamalizia story yake. Kwaiyo zabron alisimulia story yake ya maisha na akatoa na kitabu so asikuzie mtu kusimulia eti kisa autauza kitabu waongo, izo pesa sasa ndio utapata kwenye hiki kitabu. NB sija tangaza biashara ya mtu nimetoa ushauri kwa mshkaji maana naweza pokea mapovu kibao kwa watu ambao sio waelewa, ZABRON anafahamika na wengi wana mjua na hii story ya sitosahau GAMBOSHI mpaka boss wa publish jina kapuni ambae anajulikana kwa hadithi nyingi gazetini alitaka kumtapeli ambae saiz ni muheshimiwa mkubwa tu mjiongezee na bila shaka msha elewa ndio ivyo mzee ushauri wangu kwako.
Yaani Shigongo siyo?Ushauri kwa LwandaMagere we si upo mwanza mzee mtafute basi zabroni mwita akusaidie mtoe kitabu bila shaka wengi wana mjua ana kitabu cha sitoisahau gamboshi Maana ye alishachukuliwa na wachawi na kupelekwa ukogamboshi ila mungu mwema alifanikiwa kurudi duniani mzee kitabu hiki utapga pesa ndefu zabron alishapata mpaka m 100 na machenchi kupitia ushuhuda wake. kwa hicho kitabu chake alafu hapa usiache kusimulia, maliza na ukitoa kitabu utapiga pesa mim nimesoma kitabu chake zabron alinitumia kwa wasap through hard copy lakini pia kuna Chanel ipo YouTube ya davistar mata media story take ipo furu mpka zabron mwenyewe unamuona akisimulia na ameshawai simulia redio free Africa hii sitosahau gamboshi wengi humu wanamjua juzi kati ndio kamalizia story yake. Kwaiyo zabron alisimulia story yake ya maisha na akatoa na kitabu so asikuzie mtu kusimulia eti kisa autauza kitabu waongo, izo pesa sasa ndio utapata kwenye hiki kitabu. NB sija tangaza biashara ya mtu nimetoa ushauri kwa mshkaji maana naweza pokea mapovu kibao kwa watu ambao sio waelewa, ZABRON anafahamika na wengi wana mjua na hii story ya sitosahau GAMBOSHI mpaka boss wa publish jina kapuni ambae anajulikana kwa hadithi nyingi gazetini alitaka kumtapeli ambae saiz ni muheshimiwa mkubwa tu mjiongezee na bila shaka msha elewa ndio ivyo mzee ushauri wangu kwako.
Kule telegram mnapigwa shi ngap ngap mkuu?wale Wa tulioko kule telegrm tujuane
Kasema kwa TTCL landline,sio cm za mkonon,Mara simu hazikuwepo Mara wazee wanawapigiaga simu ok but story yako ya kutunga
Alishasema hapo kwenye story yake pesa inaendana na shetani. Kampa nguvu shetani. Kwa mara nyingine katika maiaha yake shetani ameshinda. Huyu jamaa bana. Kaanza na kusema kuna watu wanataka kununua story aone uelekeo. Kaja tena na kuhamia telegram. Ishu sio buku ishu ni tamaa ya msimuliaji. Kwani tokea mwanzo alikua anasisitiza ni yeye mwenyewe kaamua kusimulia story ya maisha yake kilichomsibu tena kuhamisha uelekeo ni nini. Bora angeendelea kuomba hela ya vocha hapa hapa.
Duh nasikia na huko telegram Napo anapost anapojisikia mwanzo ilikuwa episodes zaidi ya tatu kwa siku ila sasa hivi hata hiyo moja mpk abembelezwe na pesa kachangiwa
LabdaMkuu sema simu yako haitumii Telegram[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sisi tunaenjoy Stori balaaa.
Huko sio kwa kwenda labda kama una ishu zako huko utakutana na maudhi tu sasa hivi anabembelezwa kuweka story na buku kala
Dawa iyooooJamani lupatu
Mkuu lupatu Ndiyo wapi nifungueni akili