Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

Haya mambo ys nitaendelea ningejua ningefanya kama ile hadithi ya msitu wa nairoto. Niliacha uzi utiririke week kadhaa. Nilipokuja kusoma nikasoma yote.
Hapo ndio unafaidi story sio Mambo ya nusu nusu
 

Nimejizuia kucheka
Inaonekana mbeya kuna uchawi sana nilijua ni story tu kumbe haya mambo ni kweli[emoji1381]‍♀️
 
Kesho kama kawaida kisa hiki ķinaendelea kusikika redioni kwenye kipindi cha sitosahahu?nawakaribisha nyooooooooote.
 
Mshua wenu kwa namna moja ama nyingine anahusika na Huyo Bi ashura ni ngumu sana nguvu za Giza zikusumbue bila sababu iwe ni wewe au mtu yoyote wa damu yako aliingia mkataba na hizo nguvu ndo maana walikuwa huru kuwamiliki
Kabisa mkuu huenda mzee alikua na maagano na huyo dada.
 
We u
 
Hata kama wana kamati watachukia lakini lazima tukubali maelezo yamekuwa mengi yasiyo na maana yoyote[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]hebu tuondolee uchuro hapa...andika ya kwako isiyo ms maeleze
 
Kesho kama kawaida kisa hiki ķinaendelea kusikika redioni kwenye kipindi cha sitosahahu?nawakaribisha nyooooooooote.
Habari za masiku Mkuu, naweza pataje hii story Mkuu wangu j.pili nakua kanisani hyo mida? Kama iko Instagram ni unge Mkuu.
 
Kaa kwa kutulia mkuu itaendelea hapa muda si mrefu
Alafu kesho umuambie Magasha apangilie vizuri mfuatano wa visa youtube, sio haya mambo ya sehemu ya 4 ni LwandaMagere, ya 5 ni Zabloni. Ili ambao hatupati ule muda wa redioni tuende sambamba na awamu ya tano.
 
Wenye kuanda bando naomba kesho mnunue mabando ya kutosha,wenye kuchaji simu chajini ziwe full chaji,wenye kuazima simu hakikisheni mnaazima ili mkae nazo muda wote,kuanzia kesho tunaanzia tulipoishia,ila kila wiki nitajitahidi kuangalia namna nikavyoweza kuweka episode kadiri nitakavyoona inafaa.

HUO NDIO UTAKUWA UTARATIBU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…