wiztech
JF-Expert Member
- Apr 20, 2020
- 259
- 511
tuandamane kwa amaniSHIDA YANGU SIO STORI YAKE TENA NATAKA BUKUUU
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tuandamane kwa amaniSHIDA YANGU SIO STORI YAKE TENA NATAKA BUKUUU
nimecheka kweli 😅😅😅NAPANGA KUFUNGUA UZI WA MADAI
NIMETAPELIWA BUKU LANGU[emoji28][emoji28]
[emoji27][emoji27]NAUGULIA MPAKA MWANDIKO UMEBADILIKAnimecheka kweli [emoji28][emoji28][emoji28]
ndiyo maana sioni makeke yako
SASA KABLA HATUJAFIKA HUKO ALETE BUKUtuandamane kwa amani
mpaka jina umebadili? 😅😅😅[emoji27][emoji27]NAUGULIA MPAKA MWANDIKO UMEBADILIKA
story ya kweli ila sema kuna some exaggerations, nanyi mnavyopenda vya kitandani ndiyo vinazidi sasaSASA KABLA HATUJAFIKA HUKO ALETE BUKU
KWANI KUGUNDUA NI STORI KAMA STORI ZINGINE NI KOSA?
Ladha ipo, imagine uzi huu bado unatembea wakati alishauachaHii simulizi kwa humu Ilikua inachagizwa sana na comments za wadau. Sasa kule telegram sidhani kama kuna hii Ladha.
JINA SIJABADILI[emoji27][emoji27]mpaka jina umebadili? [emoji28][emoji28][emoji28]
VYA KITANDANI VINACHOSHA MPAKA NIKAMWAMBIA EPISODE ZA KITANDANI ZINAISHA LINI? NIMECHOKAstory ya kweli ila sema kuna some exaggerations, nanyi mnavyopenda vya kitandani ndiyo vinazidi sasa
Naomba hata sumary mwenzio, page zimetembea hatari
Mm nitakuwa wakili wako,hawezi kukudhulumu buku[emoji23][emoji23][emoji23]NAPANGA KUFUNGUA UZI WA MADAI
NIMETAPELIWA BUKU LANGU[emoji28][emoji28]
Umeamua uandike kwa herufi kubwa kama unamfokea vile[emoji23][emoji23][emoji27][emoji27]NAUGULIA MPAKA MWANDIKO UMEBADILIKA
Story sio ya kweli,hv unamjua chizi maarifa wewe[emoji23][emoji23]story ya kweli ila sema kuna some exaggerations, nanyi mnavyopenda vya kitandani ndiyo vinazidi sasa
Ila kila nikimkumbuka chizi maarifa naishiwa nguvu😅😅Story sio ya kweli,hv unamjua chizi maarifa wewe[emoji23][emoji23]
Pengine Malkia huyooAisee baada ya kusoma hii comment nimekutana na bonge la mrembo, kumsalimia anasmile tuu, Ila nilipokumbuka hii wala sikujipendekeza kuomba namba.
Hahahhhaaaa nimecheka kwa sautikumepoa jamaa mvivu amekula buku buku kwasiku anashusha vi short episode......ana base kwenye ngono tuuu nimeamua kuondoka bila kushawishiwa na mtu yeyote.....
Umegundua eehAPUNGUZE HADI 100 MIA KISA KITAMU UTUNZI MKALI SANA ILA SIYO CHA KWELI
Huko ss ndo tunajadili kuliko huku Polen sanaHii simulizi kwa humu Ilikua inachagizwa sana na comments za wadau. Sasa kule telegram sidhani kama kuna hii Ladha.
Acha uwongo wwwkumepoa jamaa mvivu amekula buku buku kwasiku anashusha vi short episode......ana base kwenye ngono tuuu nimeamua kuondoka bila kushawishiwa na mtu yeyote.....
Ila ww jamaa km Co shoga bx kuna shida kwenye ubongo wakoHaya maneno yako yatakuponza
Mwenzio nimelipia na nimetimuliwa wa kugundua sio true story[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]