Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samahani mdogo wangu kama nitakuwa nimekukoseaInasikitisha sana...
Mimi ni mpole sana kimuonekano na nina huruma sana, ila when it comes to my woman, ukimzingua hata muwe 100 ugomvi wake wewe/nyie na mimi hauishi...
Kenyewe kanajua ukorofu wangu...
Mwenyewe anajijua...Samahani mdogo wangu kama nitakuwa nimekukosea
Mie humu msomaji sana kuliko mwandish
Unamzungumia dada anaitwa Mahandow ndo anajua ukorofi au kuna mwengine?
Big up, lazima umtetete mwanamke wako kwa namna yeyote ile hata kwa mawe
Mi nalala nacho kabisa,tena vimbuz vitoto utukutu wao ule ni fahari tosha.Nawapenda wanyamaHahaha wewe dada mchokozi kweli kweli
Ila wanyama wakiwa watoto wanakuwa wazuri sana
Ukiona vitoto vya mbuzi unaweza tamani uvibusu busu tu