Mikataba Mibovu: Tullow shocks Government with Sh204bn Turkana oil bill

Mikataba Mibovu: Tullow shocks Government with Sh204bn Turkana oil bill

Mngekua mnaijua nchi yenu vizuri msingewapa wazungu ardhi yote nzuri yenye rutuba ili walime chai na kuwaacha Samburu na Turkna katika jangwa wakipigana huku mamia ya wakenya wakiishi kwa kutegemea chakula cha msaada

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata hayo maeneo yanaweza kugeuzwa na kulimwa tu. Israel ni kame hata kushinda Turkana na bado wanalima mimea aina zote. Siku hizi tunastahili kutumia teknolojia kama greenhouse, sio kutegemea mvua kama mababu zetu wa karne zilizopita. Hao wazungu wanaajiri Wakenya, wanalipa ushuru na wanaleta foreign exchange. Shamba zao haziko idle kama mashamba za Waafrika tajiri ambao mashamba zao ziko idle kwa ajili ya price speculation. Shamba la mzungu ambalo halitumiki basi litaifishwe ila shamba zao nyingi zinatumika kwa manufaa ya nchi, nyingi zinatumika kwenye kilimo. Tunastahili kutaifisha shamba lolote lisilotumika ila napinga kabisa kasumba ya kunyakua shamba la mzungu aliyeajiri waafrika mia tano na ni mlipaji ushuru mkubwa eti tu kwa sababu ngozi yake ni nyeupe. Ilhali unawacha shamba idle la mwafrika la ekari elfu hamsini kwa sababu ngozi yake ni nyeusi. Shamba ambalo linatumika na linaleta faida kwa nchi liendee kutumika hata kama ni la mzungu na shamba ambalo halitumiki basi litaifishwe na kuwekwa katika matumizi itakayonufaisha nchi.
 
nikusikilize wewe fala badala ya AfDB ??
Major road in northern Kenya opens up trade with Ethiopia
Thursday, 27 July 2017 07:55
The construction of the Isiolo-Marsabit-Moyale road provides enormous economic potential to the East African region, once marginalised by governments. Mwangi Mumero reports
Mainpic(Image source: Mwangi Mumero)

The completion of the 505 km Isiolo-Marsabit-Moyale road in Northern Kenya has fostered trade with Ethiopia, opening up the neglected region as well as boosting tourism and investment. The road forms part of the Great North Road that stretches from Namanga on the Kenya-Tanzania border, through Nairobi and up north to Moyale, on the Ethiopian border.

The road has become a major cog in the trading wheel with Ethiopia, South Sudan, Kenya and Tanzania. Funded by the Kenyan government, the African Development Bank and the European Union, the road has cost an estimated US$1.63bn, according to the Kenya Highways Authority.

“The road has had an impressive positive impact on the region’s security, having opened up an area that was previously viewed as ‘marginalized’. It will boost regional trade,” said James Macharia, Kenya’stransport cabinet secretary. Since Independence, more than 50 years ago, northern Kenya has been marginalized as governments viewed the arid and semi-arid region as of little economic value.

Insecurity caused by scarce resources, such as pasture and conflicts over livestock have also deepened its negative image.

However, discoveries of oil in the region, coupled with devolution of government services to the counties, have led to increased interest in marginal areas in the country.

The road is also part of the of the Lamu Port-South Sudan-Ethiopia Transport and Development Corridor (LAPSSET), a project that will involve the development of an 800 km road system, a standard gauge railway, a 1,300 km oil pipeline, an oil refinery and an airport.

This is part of the Lamu Port development – a joint venture by Kenya, Ethiopia and South Sudan that is expected to cost US$22.5bn.

The three countries will share the cost that will be undertaken through a Private Public Partnership.

Major road in northern Kenya opens up trade with Ethiopia
 
nikusikilize wewe fala badala ya AfDB ??
Isiolo–Moyale Road
Language
Download PDF
Watch
Edit
‹ The template Infobox road is being considered for merging. ›
The Isiolo–Moyale Road is a road section of the A2 Road in Kenya, connecting the towns of Isiolo, Archers Post, Marsabit, and Moyale. The road is a component of the Lamu Port and Lamu-Southern Sudan-Ethiopia Transport Corridor (LAPSSET) Project. It connects Kenya to Ethiopia, its neighbor to the north.[1]

Isiolo–Moyale Road
Route information
Length
313 mi (504 km)
History
Designated in 2008
Completion in 2017
Major junctions
South end
Isiolo

Archers Post
Marsabit
North end
Moyale
Highway system
Roads in Kenya

Isiolo–Moyale Road - Wikipedia
 
kuna sections bado haijakamilika! Unabisha nn falamanga wewe?

From AfDB

Mombassa_2018-06-04_083259.jpg


Project Summary
Approval Date30 Nov 2011
Signature Date03 Feb 2012
Planned Completion Date31 Dec 2020
Sovereign / Non-SovereignSovereign
SectorTransport
DAC Sector Code21023
CommitmentU.A 105,000,000
StatusImplementation


Multinational - Mombasa-Nairobi-Addis Ababa Road Corridor Project - Phase III
Tony254
 
nikusikilize wewe fala badala ya AfDB ??
The Great North Road – A trip through the wild splendour of northern Kenya.
DSC_6807
AUGUST 30, 2017 BY EMMA REDFERN LEAVE A COMMENT
The ‘great north road’, also known (less romantically) as the A2, links Nairobi, and the rest of East Africa, with Ethiopia. It does so by traversing some of the most dramatic and inhospitable parts of the northern half of Kenya. The 507kms between Isiolo and Moyale take you through the Kaisuit Desert, over 1500m of volcanic mountain (topped by thick forest) and on through the Dida Galgalu Desert and the Shinil Plains, before climbing again into the low hills around Moyale, where the road passes into Ethiopia.

When I first travelled this road you considered things were going well if you made the trip from Isiolo to Moyale in 2 days. The rough corrugated dirt road, strewn with either rocks or a fine clinging dust, was hard work in the dry season. During the rains however it was almost impossible. It wasn’t unheard of for the journey to stretch to a week, as buses and lorries became stuck in mud over their axles, and completely blocked the road.

Moyale Bus
Moyale Bus

The heat of the desert stretches is intense so it was normal for vehicles to travel at night. More comfortable for the drivers and passengers but it also helped to reduce the number of tire blow-outs and punctures. Poor quality tires, in extreme heat and on sharp volcanic rock, is a recipe for endless tire changing.

Upgrading the road

Moyale road cleared for development
Moyale road cleared for development

The project, to upgrade the stretch of the A2 from Isiolo town to the Ethiopian border at Moyale, spanned 3 presidents and construction took 9 years. The finished product is one of the best roads in the country though, reducing travel time from Nairobi to Moyale from 3 days to around 12 hours.
The Great North Road – A trip through the wild splendour of northern Kenya. - Remember The Goat
 
Isiolo–Moyale Road
Language
Download PDF
Watch
Edit
‹ The template Infobox road is being considered for merging. ›
The Isiolo–Moyale Road is a road section of the A2 Road in Kenya, connecting the towns of Isiolo, Archers Post, Marsabit, and Moyale. The road is a component of the Lamu Port and Lamu-Southern Sudan-Ethiopia Transport Corridor (LAPSSET) Project. It connects Kenya to Ethiopia, its neighbor to the north.[1]

Isiolo–Moyale Road
Route information
Length
313 mi (504 km)
History
Designated in 2008
Completion in 2017
Major junctions
South end
Isiolo

Archers Post
Marsabit
North end
Moyale
Highway system
Roads in Kenya

Isiolo–Moyale Road - Wikipedia
wikipedia sio?

Mimi nabaki na AfDB

From AfDB

Mombassa_2018-06-04_083259.jpg


Project Summary
Approval Date30 Nov 2011
Signature Date03 Feb 2012
Planned Completion Date31 Dec 2020
Sovereign / Non-SovereignSovereign
SectorTransport
DAC Sector Code21023
CommitmentU.A 105,000,000
StatusImplementation


Multinational - Mombasa-Nairobi-Addis Ababa Road Corridor Project - Phase III
 
nikusikilize wewe fala badala ya AfDB ??
10 things you didn't know about Isiolo-Moyale road
By Sara Okuoro | Thursday, Jul 27th 2017 at 00:00
Share this story:

Section of the Isiolo-Moyale road


1. The Isiolo-Moyale road was constructed at a cost Sh42 billion.





President Mwai Kibaki (centre) unveils a commemorative plaque during the launch of Sh15 billion Turbi - Moyale road construction in Moyale County on November 7, 2012. Photo/PPS PPS


2. Former President Mwai Kibaki launched construction of the road during his second term in office as part of Vision 2030 project.



President Uhuru commissioning the Turbi-Moyale (A2) road in Moyale Town, Marsabit County




3. President Uhuru Kenyatta commissioned Turbi-Moyale (A2) road on July 26, 2017.



4. The road was constructed by a Chinese company, China Wu Yi.



A truck that was burnt by rowdy youth between Turbi and Walda in Marsabit County, Dec 2013 [PHOTO: ALI ABDI/STANDARD]




5. In December 2013, China Wu Yi suspended construction after rivals engaged in conflict, attacked its workers and vehicles in Marsabit.



6. Travelling from Marsabit to Nairobi (through Isiolo) used to take three days, the road will reduce travel time to at least 12 hours.






7. It has three sections, Merille River-Marsabit, Marsabit-Turbi and Turbi-Moyale. Each phase is 121km long.



8. The highway is a key part of the Lamu Port-South Sudan-Ethiopia (LAPSSET) Corridor Project.






9. The Turbi - Moyale (A2) road is the last section of the Trans-Africa Highway Corridor in Kenya.



10. The African Development Bank (AfDB) is one of the major donors that financed the project
10 things you didn't know about Isiolo-Moyale road : The Standard
 
wikipedia sio?

Mimi nabaki na AfDB

From AfDB

Mombassa_2018-06-04_083259.jpg


Project Summary
Approval Date30 Nov 2011
Signature Date03 Feb 2012
Planned Completion Date31 Dec 2020
Sovereign / Non-SovereignSovereign
SectorTransport
DAC Sector Code21023
CommitmentU.A 105,000,000
StatusImplementation


Multinational - Mombasa-Nairobi-Addis Ababa Road Corridor Project - Phase III
Sawa mimi sijawahi kushindwa debate na Mdanganyika. Yaani wewe unaamini Afdb pekee? Kama ni hivyo basi soma hapa Afdb wenyewe wanasema kuwa barabara hii ilikamilika 2016.



The 895-km highway corridor linking Kenya and Ethiopia has not only eased cross-border traffic between the two countries, but is a major push for economic integration within Africa, resulting in jobs and improved livelihoods across the Horn region.

In 2006, the project was still on the drawing board. Ten years later, construction of the Mombasa-Nairobi-Addis Ababa road is a reality and a stellar example of infrastructure built with African Development Bank Group financing under one of its key High 5 priorities.

The corridor consists of a 504-kilometre road linking the Kenyan towns of Merille and Turbi, through Marsabit, and an additional 391-kilometre stretch running through Ethiopia linking Ageremariam, Yabelo and Mega. The Bank co-funded the project to the tune of US$ 670 million, amounting to 64% of total project costs.

While the Kenyan section of the corridor was completed in 2016, the last part of the road in Ethiopia will be finished during the first half of 2019. Yet already trade and employment opportunities between the two countries have increased.

Nairobi-Addis Ababa road corridor boosts trade in East and Horn of Africa
 
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Nimeona hiyo video airport ya miraa

Yaani airport inaitwa international lakini ina ndege moja tu tena unpredictable charter flight 😅😅😅😅😅😅 ya Miraa
 
Oyaa mbona umeingia mitini. Hahaha huwa unafurahisha sana. Huwa unakuja na mioto sana halafu unakula mangoto unakaa chini. Sasa umepigwa 10 - nil umeamua kunyamaza, hahaha. Sawa siku njema, salimia watoto.

From AfDB wameweka completion date!

Mombassa_2018-06-04_083259.jpg



Project Summary
Approval Date30 Nov 2011
Signature Date03 Feb 2012
Planned Completion Date31 Dec 2020
Sovereign / Non-SovereignSovereign
SectorTransport
DAC Sector Code21023
CommitmentU.A 105,000,000
StatusImplementation


Multinational - Mombasa-Nairobi-Addis Ababa Road Corridor Project - Phase III
 
From AfDB wameweka completion date!

Mombassa_2018-06-04_083259.jpg



Project Summary
Approval Date30 Nov 2011
Signature Date03 Feb 2012
Planned Completion Date31 Dec 2020
Sovereign / Non-SovereignSovereign
SectorTransport
DAC Sector Code21023
CommitmentU.A 105,000,000
StatusImplementation


Multinational - Mombasa-Nairobi-Addis Ababa Road Corridor Project - Phase III
Hii project ya Afdb inajumulisha section ya Kenya na section ya Ethiopia kwa pamoja. Afdb wenyewe wamesema section ya Kenya ilikamilika 2016 na ya Ethiopia itakamilika 2019. (Article yenyewe iliandikwa kabla ya mwaka wa 2019 kufika). Afdb walisema project yote haikuwa imekamilika kwa sababu section ya Ethiopia ilikuwa bado inajengwa. Kiingereza tatizo babu naelewa
 
Hata hayo maeneo yanaweza kugeuzwa na kulimwa tu. Israel ni kame hata kushinda Turkana na bado wanalima mimea aina zote. Siku hizi tunastahili kutumia teknolojia kama greenhouse, sio kutegemea mvua kama mababu zetu wa karne zilizopita. Hao wazungu wanaajiri Wakenya, wanalipa ushuru na wanaleta foreign exchange. Shamba zao haziko idle kama mashamba za Waafrika tajiri ambao mashamba zao ziko idle kwa ajili ya price speculation. Shamba la mzungu ambalo halitumiki basi litaifishwe ila shamba zao nyingi zinatumika kwa manufaa ya nchi, nyingi zinatumika kwenye kilimo. Tunastahili kutaifisha shamba lolote lisilotumika ila napinga kabisa kasumba ya kunyakua shamba la mzungu aliyeajiri waafrika mia tano na ni mlipaji ushuru mkubwa eti tu kwa sababu ngozi yake ni nyeupe. Ilhali unawacha shamba idle la mwafrika la ekari elfu hamsini kwa sababu ngozi yake ni nyeusi. Shamba ambalo linatumika na linaleta faida kwa nchi liendee kutumika hata kama ni la mzungu na shamba ambalo halitumiki basi litaifishwe na kuwekwa katika matumizi itakayonufaisha nchi.
Nchi yenye kujali raia wake lazima kwanza ihakikishe kila raia mwenye kuhitaji ardhi ya kilimo kwa ajili ya kuzalisha chakula chake na jamii yake, anaweza kuipata kwa gharama ya chini sana, au bila malipo yoyote, ardhi kwa ajili ya uzalishaji wa chakula ambacho sio kwa ajili ya biashara ni miongoni mwa huduma za kijamii, serikali inao wajibu wa kuhakikisha kwamba huduma za kijamii zinapatikana kwa gharama nafuu au bila malipo

Serikali inaowajibu wa kuweka sera madhubuti za kuhakikisha kwamba, ardhi sio bidhaa ambapo inauzwa kutokana na nguvu ya soko "willing seller and willing buyer", mkifanya hivyo ni wazi kwamba ardhi yote nzuri itakua mikononi mwa matajiri wachache na kuwaacha wananchi wengi masikini bila ardhi, jambo linalosababisha vita na migongano miongoni mwa wananchi na matajiri.

Hii idea ya kwamba wazungu wanatoa ajira kwa wazawa, sio idea nzuri sana kwasababu hawa matajiri hawszalishi kutokana na mahitaji ya nchi, wao huzalisha kutokana na mahitaji ya soko la nje, matokeo yake ni kwamba "Africa produces what it doesn't consume, and we consume what we don't produce", matokeo yake ndio haya, kwamba pamoja na kwamba 80% ya wakenya ni wakulima, lakini wanategemea chakula cha msaada toka UAE.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nchi yenye kujali raia wake lazima kwanza ihakikishe kila raia mwenye kuhitaji ardhi ya kilimo kwa ajili ya kuzalisha chakula chake na jamii yake, anaweza kuipata kwa gharama ya chini sana, au bila malipo yoyote, ardhi kwa ajili ya uzalishaji wa chakula ambacho sio kwa ajili ya biashara ni miongoni mwa huduma za kijamii, serikali inao wajibu wa kuhakikisha kwamba huduma za kijamii zinapatikana kwa gharama nafuu au bila malipo

Serikali inaowajibu wa kuweka sera madhubuti za kuhakikisha kwamba, ardhi sio bidhaa ambapo inauzwa kutokana na nguvu ya soko "willing seller and willing buyer", mkifanya hivyo ni wazi kwamba ardhi yote nzuri itakua mikononi mwa matajiri wachache na kuwaacha wananchi wengi masikini bila ardhi, jambo linalosababisha vita na migongano miongoni mwa wananchi na matajiri.

Hii idea ya kwamba wazungu wanatoa ajira kwa wazawa, sio idea nzuri sana kwasababu hawa matajiri hawszalishi kutokana na mahitaji ya nchi, wao huzalisha kutokana na mahitaji ya soko la nje, matokeo yake ni kwamba "Africa produces what it doesn't consume, and we consume what we don't produce", matokeo yake ndio haya, kwamba pamoja na kwamba 80% ya wakenya ni wakulima, lakini wanategemea chakula cha msaada toka UAE.

Sent using Jamii Forums mobile app
Jaribu kijikita kwenye data. Ukiangalia jinsi ardhi inavyotumika ni wazi kuwa wazungu wako productive sana na shamba. Halafu i find your reasoning very childish. Eti wewe sasa unaona kufanya ukulima wa majani chai au maua ni ujinga na upuuzi. Mtu yeyote ambaye amesomea mambo ya uchumi anaelewa kuwa sekta hizi ni muhimu sana katika nchi yoyote. Commercial farming ni muhimu hata kushinda subsistence farming. Subsistence farming haileti foreign exchange, haina faida kama commercial. Commercial pia inafanya nchi iwe industrialized haraka kwa sababu ya matumizi ya teknolojia ya kisasa. Kusema eti Kenya iwache kupanda maua na majani chai na kupoteza mabilioni ya dola ili tupande mahindi na maharagwe ni ujinga wa mwisho. Kilo moja ya mahindi iliyosagwa ni dola 0.6 ilhali kilo moja ya majani chai iliyokuwa processed ni dola 6. Kwa hivyo majani chai iliyokuwa processed ina bei mara kumi ya mahindi iliyosagwa.
 
Nchi yenye kujali raia wake lazima kwanza ihakikishe kila raia mwenye kuhitaji ardhi ya kilimo kwa ajili ya kuzalisha chakula chake na jamii yake, anaweza kuipata kwa gharama ya chini sana, au bila malipo yoyote, ardhi kwa ajili ya uzalishaji wa chakula ambacho sio kwa ajili ya biashara ni miongoni mwa huduma za kijamii, serikali inao wajibu wa kuhakikisha kwamba huduma za kijamii zinapatikana kwa gharama nafuu au bila malipo

Serikali inaowajibu wa kuweka sera madhubuti za kuhakikisha kwamba, ardhi sio bidhaa ambapo inauzwa kutokana na nguvu ya soko "willing seller and willing buyer", mkifanya hivyo ni wazi kwamba ardhi yote nzuri itakua mikononi mwa matajiri wachache na kuwaacha wananchi wengi masikini bila ardhi, jambo linalosababisha vita na migongano miongoni mwa wananchi na matajiri.

Hii idea ya kwamba wazungu wanatoa ajira kwa wazawa, sio idea nzuri sana kwasababu hawa matajiri hawszalishi kutokana na mahitaji ya nchi, wao huzalisha kutokana na mahitaji ya soko la nje, matokeo yake ni kwamba "Africa produces what it doesn't consume, and we consume what we don't produce", matokeo yake ndio haya, kwamba pamoja na kwamba 80% ya wakenya ni wakulima, lakini wanategemea chakula cha msaada toka UAE.

Sent using Jamii Forums mobile app
Isitoshe kumbuka majani chai ya Kenya huwa exported in semi processed form and processed form. Yaani Kenya imewekeza pesa nyingi sana kujenga industries za kuprocess majani chai. KTDA inamiliki industries nyingi sana ambazo zinaprocess majani chai. Majani chai kama Kericho gold au Ketepa au ya kibinafsi inayoitwa Finlays ni majani chai ambazo Zinakuwa processed hapa nchini kutumia industries zetu. Kusema eti hizi industries zifungwe ili tuanze kupanda mahindi na maharagwe halafu kuharibu zaidi tukose kuziexport bali tuzile ni ujinga wa hali ya juu. Maisha sio kufikiria tu mambo ya tumbo tu bila kufikiria ni kilimo gani itakuletea pesa ya kutosha kimaisha. Chakula unaweza nunua tu bora una pesa, sio lazima kila mtu alime mahindi
 
Back
Top Bottom