Hello! Nataka kuanzisha biashara ya kununua pikipiki za usafiri kisha kukodisha kwa waendeshaji bodaboda hizo kwa makubaliano ya kila siku akipaki pikipiki hiyo arejeshe Tshs. 10,000 na baada ya mwaka 1 bodaboda hiyo itakuwa ya kwake, je mkataba wa biashara ya kukodisha bodaboda hiyo kwa makubaliano mazuri yenye dhamira ya kujenga uhusiano mzuri kisheria unatakiwa uweje au uwe na vitu gani, nikipata nakala nitashukuru zaidi.:A S kiss: