Mikataba yote iliyovunjwa na kuingiwa makubaliano mapya na JPM, wawekezaji wataendelea kulipwa kwa sababu ni wakati wa ulaji kwa wanasheria wa serikal

Mikataba yote iliyovunjwa na kuingiwa makubaliano mapya na JPM, wawekezaji wataendelea kulipwa kwa sababu ni wakati wa ulaji kwa wanasheria wa serikal

Nsanzagee

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2023
Posts
2,209
Reaction score
4,769
Je, huu ni wakati wa wanasheria wa serikali kulamba asali kupitia kesi za kimikataba na kimataifa?

Mikataba mingi iliyovunjwa na JPM, ilivunjwa kwa negotiation ya win win stuation ili kuanza upya!

Tokea miaka ya 2018 huko miaka mitano nyuma, mwekezaji kampuni ya Nickel ambaye haijulikani amefungua kesi lini, anakuja kushinda kesi na kulipwa mibilioni leo! Inashangaza kidogo!

Hii sasa itufanye kuwa macho basi kwenye mikataba yote inayoingiwa na serikali yetu, matumbo yawe nyuma, masilahi ya nchi mbele! Mfano wa mkataba ambao tunapaswa kuwa macho sana, ni huu wa bandari zetu na kampuni ya DP world, tusipokuwa makini, huu ndo utakuja kutugharimu hatutosahau!

Hivi ni Kwa nini kesi hizi hazikuwa zinaamriwa kipindi mvunja mikataba yupo? 2018 hadi 2021? Hapa pana kitu si bule!

Tulisikia sauti ya JPM kipindi hiko akisema, Tanzania haijawahi kushinda kesi za kiusuluhishi hata zile zinazoelekea kushinda!

Ni kwa sababu wanasheria wetu wengi hupewa hongo huko na ama hawalipwi vizuri na serikali yao!

Mashaka ya wengi ingawa hayawezi kuthibitishwa, JPM aliondoka na mengi!

Bado tunatkiwa kuwa JPM tena hii nchi mwenye ukichaa na ukweli wa kiutanzania kichwani,

Kuna mikataba mingi ya kipumbavu hii inchi inapaswa kuvunja bila hata kuangalia gharama,

Inawezekanaje kwenye madini kulipwa 2% tu ya madini yote na kampuni kubwa kama barik?

Huu si ni upunguani?
 
Ni mitego ilikuwa, angalia pattern ya mikataba yote iliyofutwa na Magufuli. Ni watu waliopewa maeneo ya uwekezaji kwa muda mrefu. Hayo maeneo wameyakalia muda mrefu bila ya kufanya chochote. Serikali ime-yachukua wamepata sababu ya kwenda mahakamani na kulamba hela za Tanzania kirahisi. Wote trend ni moja.
 
Je, huu ni wakati wa wanasheria wa serikali kulamba asali kupitia kesi za kimikataba na kimataifa?

Mikataba mingi iliyovunjwa na JPM, ilivunjwa kwa negotiation ya win win stuation ili waanze upya na kwa mikataba mpya wa win win stuation

Tokea miaka ya 2018 huko miaka mitano nyuma anakuja kushinda kesi na kulipwa na mibilioni leo?

Kwa nini kesi hizi hazikuwa zinaamriwa kipindi mvunja mikataba akiwepo?

Tulisikia sauti ya JPM kipindi hiko akisema, Tanzania haijawahi kushinda kesi za kiusuluhishi hata zile zinazoelekea kushinda!

Ni kwa sababu wanasheria wetu wengi hupewa hongo huko na ama hawalipwi vizuri na serikali yao!

Mashaka ya wengi ingawa hayawezi kuthibitishwa, JPM aliondoka na mengi!

Bado tunatkiwa kuwa JPM tena hii nchi mwenye ukichaa na ukweli wa kiutanzania kichwani,

Kuna mikataba mingi ya kipumbavu hii inchi inapaswa kuvunja bila hata kuangalia gharama,

Inawezekanaje kwenye madini kulipwa 2% tu ya madini yote na kampuni kubwa kama barik?

Huu si ni upunguani?
Tuangalie na huu mpya wa DP World
 
Hii awamu imejaa sana rushwa, watendaji hawamuogopi Samia kwasababu nae ni mla rushwa kama alivyokula kwa waarabu, ndio maana mpaka leo ameziba masikio hataki kuuvunja ule mkataba.
Se is a corrupt woman huo ushungi anavaa kuficha udhaifu wake!!
 
Ni mitego ilikuwa, angalia pattern ya mikataba yote iliyofutwa na Magufuli. Ni watu waliopewa maeneo ya uwekezaji kwa muda mrefu. Hayo maeneo wameyakalia muda mrefu bila ya kufanya chochote. Serikali ime-yachukua wamepata sababu ya kwenda mahakamani na kulamba hela za Tanzania kirahisi. Wote trend ni moja.
Hao ni akina JK
 
Ni mitego ilikuwa, angalia pattern ya mikataba yote iliyofutwa na Magufuli. Ni watu waliopewa maeneo ya uwekezaji kwa muda mrefu. Hayo maeneo wameyakalia muda mrefu bila ya kufanya chochote. Serikali ime-yachukua wamepata sababu ya kwenda mahakamani na kulamba hela za Tanzania kirahisi. Wote trend ni moja.
Well, do they have a case or don’t they? Hata kama wamelaghai. Hiyo ni kawaida ya mabepari wakipata uchochoro kwa wajinga wasiojua kujisimamia wala kujijali.

Halafu Magufuli angekuwepo leo unaamini hizo kesi zisingefunguliwa? Bila kusahau yaliyotokea Canada na S Africa akiwa hai.

I personally rued his untimely demise as it denied us that precious opportunity of witnessing the fine end of his political maneuvers.

Kwangu mimi CCM in its entirety is a major TRAGEDY of this nation na, sitenganishi. Marais wote (wa CCM) tuliokuwa nao wameongoza na wanaendelea kuongoza taifa hili kama funeral directors.

To some good extent JK Nyerere alionyesha nia njema na ya dhati kwa taifa LAKINI akabana kabisa uwezekano wa kuwa na utawala bora unaoheshimu maamuzi ya wananchi. Ndipo msiba mkuu ulipoanzia.
 
Well, do they have a case or don’t they? Hata kama wamelaghai. Hiyo ni kawaida ya mabepari wakipata uchochoro kwa wajinga wasiojua kujisimamia wala kujijali.

Halafu Magufuli angekuwepo leo unaamini hizo kesi zisingefunguliwa? Bila kusahau yaliyotokea Canada na S Africa akiwa hai.

I personally rued his untimely demise as it denied us that precious opportunity of witnessing the fine end of his political maneuvers.

Kwangu mimi CCM in its entirety is a major TRAGEDY of this nation na, sitenganishi. Marais wote (wa CCM) tuliokuwa nao wameongoza na wanaendelea kuongoza taifa hili kama funeral directors.

To some good extent JK Nyerere alionyesha nia njema na ya dhati kwa taifa LAKINI akabana kabisa uwezekano wa kuwa na utawala bora unaoheshimu maamuzi ya wananchi. Ndipo msiba mkuu ulipoanzia.
You can’t rule out investors not having a claim, when expropriation of their investment took place in front of the world.

Nonetheless the devil is in the contract details, government reasons and circumstances. With that rationale it’s best to get into the details of the matter before deciding where to point the finger of blame.

As for CCM its a no brainer they’re out of touch with the current social viewpoints in the country; only that those people have yet to be convinced by alternative parties they have what it takes to manage a country better.
 
Je, huu ni wakati wa wanasheria wa serikali kulamba asali kupitia kesi za kimikataba na kimataifa?

Mikataba mingi iliyovunjwa na JPM, ilivunjwa kwa negotiation ya win win stuation ili kuanza upya!

Tokea miaka ya 2018 huko miaka mitano nyuma, mwekezaji kampuni ya Nickel ambaye haijulikani amefungua kesi lini, anakuja kushinda kesi na kulipwa mibilioni leo! Inashangaza kidogo!

Hii sasa itufanye kuwa macho basi kwenye mikataba yote inayoingiwa na serikali yetu, matumbo yawe nyuma, masilahi ya nchi mbele! Mfano wa mkataba ambao tunapaswa kuwa macho sana, ni huu wa bandari zetu na kampuni ya DP world, tusipokuwa makini, huu ndo utakuja kutugharimu hatutosahau!

Hivi ni Kwa nini kesi hizi hazikuwa zinaamriwa kipindi mvunja mikataba yupo? 2018 hadi 2021? Hapa pana kitu si bule!

Tulisikia sauti ya JPM kipindi hiko akisema, Tanzania haijawahi kushinda kesi za kiusuluhishi hata zile zinazoelekea kushinda!

Ni kwa sababu wanasheria wetu wengi hupewa hongo huko na ama hawalipwi vizuri na serikali yao!

Mashaka ya wengi ingawa hayawezi kuthibitishwa, JPM aliondoka na mengi!

Bado tunatkiwa kuwa JPM tena hii nchi mwenye ukichaa na ukweli wa kiutanzania kichwani,

Kuna mikataba mingi ya kipumbavu hii inchi inapaswa kuvunja bila hata kuangalia gharama,

Inawezekanaje kwenye madini kulipwa 2% tu ya madini yote na kampuni kubwa kama barik?

Huu si ni upunguani?
Kilichotakiwa na kinahitajika ni kitu rahisi sana. Serikali inawabana kwa kuwa hostile kwa mambo yote yanayohitaji serikali na kuwapendelea kwa makusudi wazawa ili wawe washindani (uzalendo).

Matokeo yangekuwa makampuni hayo kufunga virago yenyewe bila madai. Tatizo lilikuja pale tulipoanza kwa kelele za kisiasa kutafuta umaarufu.

Ukiwinda hutakiwi kupiga kelele, wanyama watashtuka.
 
Back
Top Bottom