mbotoki
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 268
- 115
Jambo kwenu wote.
Leo wazee wa "natuma kama nilivyopokea" wamesambaza sana habari kuwa mtajwa hapo juu katutoka.
Nimejaribu kutafuta uhakika toka vyanzo vya kuaminika kuhusu hilo suala, sijaona kwa kweli.
Huyu jamaa kutokana na simulizi ninazozisikia kuhusu yeye, ni kuwa alikuwa hapigiki aisee. Na aliwahi kuwa maarufu sana na mburudishaji wa dunia.
Ninaomba hapa kama kuna mtu anajua zaidi na zaidi kuhusu huyu mjamaa,
Ubondia wake,
na kwa nini haswa jina lake lilitawala ulimwengu. Hebu teremka hapa tulinganishe na hawa waburudishaji wa leo.
Itanisaidia sana pia kwa nn kama kweli hajafa, azushiwe kifo.
Leo wazee wa "natuma kama nilivyopokea" wamesambaza sana habari kuwa mtajwa hapo juu katutoka.
Nimejaribu kutafuta uhakika toka vyanzo vya kuaminika kuhusu hilo suala, sijaona kwa kweli.
Huyu jamaa kutokana na simulizi ninazozisikia kuhusu yeye, ni kuwa alikuwa hapigiki aisee. Na aliwahi kuwa maarufu sana na mburudishaji wa dunia.
Ninaomba hapa kama kuna mtu anajua zaidi na zaidi kuhusu huyu mjamaa,
Ubondia wake,
na kwa nini haswa jina lake lilitawala ulimwengu. Hebu teremka hapa tulinganishe na hawa waburudishaji wa leo.
Itanisaidia sana pia kwa nn kama kweli hajafa, azushiwe kifo.